Umezisikia wapi na kwa nani?Nasikia mmefeli sana vijana.so wameamua kufanya hivyo ili kubalance.pia number ya watu walioitwa kwenye oral haiendani na idadi ya watu wanaotakiwa kuajiriwa.mfano TMO wameita oral watu 465 tu na wakati watu wanaotakiwa ni 294,ukiangalia hapo hakuna uwiano.walitakiwa waite angalau watu 880 huko ili kubalnce. Nimezisikia mahali flani flani hizi news ingawa hazijadhibitishwa.
Nasikia mmefeli sana vijana.so wameamua kufanya hivyo ili kubalance.pia number ya watu walioitwa kwenye oral haiendani na idadi ya watu wanaotakiwa kuajiriwa.mfano TMO wameita oral watu 465 tu na wakati watu wanaotakiwa ni 294,ukiangalia hapo hakuna uwiano.walitakiwa waite angalau watu 880 huko ili kubalnce. Nimezisikia mahali flani flani hizi news ingawa hazijadhibitishwa.
Hapo ni watu tu wanataka kuwatapeli wenzao.Hakuna kitu kama hicho hadi wanaita watu walishajua hiyo ratio
Hapo ni watu tu wanataka kuwatapeli wenzao.
Utumishi wako makini sana kwenye hayo mambo.
Tupe na sisi madini basi mkuu au ni confidential?Nimepata ufafanuzi tayari kwa mdau mmoja humu.nilimcheck inbox
Hivi ikiwa kweli itakuaje?Tupe na sisi madini basi mkuu au ni confidential?
Hivi ikiwa kweli itakuaje?
Sasa wewe unajua utumishi hawana huo utaratibu kulikua na haja gani ya wewe kuleta huu uzi hapa?Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49 mpaka 45 kuitwa kufanya oral interview sababu ni kwamba kuna idadi ya watu ambayo haijatimia na walioitwa awali kwenye oral ni wachache sana.
Binafsi nijuavyo utumishi hawana huo utaratibu na sijawahi kuusikia ila jamaa kakomaa na hizo habari.
So naomba kuuliza ,lina ukweli hilo suala au ndugu yangu anajifariji bure tu?
Wewe umeona haukuhusu,ungepita tu kimya kimya.hakuna aliyekushikia kombora kukulazimisha kuusoma..mbona nyuzi za kusoma ziko nyingi tu mkuu?Sasa wewe unajua utumishi hawana huo utaratibu kulikua na haja gani ya wewe kuleta huu uzi hapa?
Mara nyingi Ratio huwa kati ya 3:1 na 4:1
Sema sidhani kama wanaweza rudia oral...nimaoni yangu tu.Mara nyingi Ratio huwa kati ya 3:1 na 4:1
Kwa kuangalia walioitwa kwenye zile kada hata ratio ya 2:1 haifiki.
Sijui serikali huwa wanaamuaje mambo yake.
Hata mimi sijawahi kuona, ila hii inawapa angalau alarm ya nini kifanyike huko mbeleni.Sema sidhani kama wanaweza rudia oral...nimaoni yangu tu.