Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Hiyo imetoka sifikirii km kunarudia tena au wanataka kupitisha watu wao hawa jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweni wameshawahi kuchukua alama chini ya 50?Hata mimi sijawahi kuona, ila hii inawapa angalau alarm ya nini kifanyike huko mbeleni.
Huenda kuna watoto wa wakubwa walipata below 50 so wanaangalia namna ya kuwabeba.Hiyo imetoka sifikirii km kunarudia tena au wanataka kupitisha watu wao hawa jamaa
Huwa wanachukua mkuu haswa matokeo yakiwa mabovu na yakiwa mazuri hata alama ya 50 hawachukui wanaanzia 65 au 70 huko ila wakichagua wamechagua ili watu waende Oral ila hii wanayosema jamaa sijawahi ona.Kweni wameshawahi kuchukua alama chini ya 50?
Wanachukua mara kibao tuKweni wameshawahi kuchukua alama chini ya 50?
Wanachukua mara kibao tu
Binafsi sijawai ona lakini kama wanachukuaga basi wanaweza kuleta oral nyengine, cha msingi ni kuskiliziaWanachukua mara kibao tu
Sasa hiyo ndo itakuwa mpya kuita watu mara mbili mbili kwa Oral mojaBinafsi sijawai ona lakini kama wanachukuaga basi wanaweza kuleta oral nyengine, cha msingi ni kuskilizia
Yote yanawezekana bongoSasa hiyo ndo itakuwa mpya kuita watu mara mbili mbili kwa Oral moja
Watakua wametia aibu kinoma sanaaaYote yanawezekana bongo
Ni aibu but itawanufaisha na wengineWatakua wametia aibu kinoma sanaaa
Wangekuwa washatangaza mkuu km kuna issue ya kurudia Oral kipindi hichi wako fasta sana, sifikirii km hiyo issue inawezakana yatazuka mengine mapya.Ni aibu but itawanufaisha na wengine
Kumbuka kuna 21% yawapemba zachinichini waliofanya oral hata 10% haijafika bora waache kabisa itakuwa jau jau kubwa sana km kweli hizo asilimia tuwasaidie sisi kureplace😆😁Ni aibu but itawanufaisha na wengine
Mkuu ratio kwenye written kivipi??Hii haiwezekani kuchukua below 49.5 kwa utumishi . Ninavyoelewa ile ratio ni kwenye written tu na sio Oral . Pia jambo hili likitokea litaharibu image ya Utumishi maana itakuwa mara ya pili sasa kwa sahili za TRA. And why ile TRA tu pia kumbuka vijana wametumia gharama kubwa kuanzia written hadi oral. Pamoja na posho za wasimamizi. Japo kwa hili halina shida sana. Labda kama kuna vigogo ambao watoto wao wamepigwa down wanaforce mchezo.
Tunasubiri hizo good newsVuteni subra vijana.kuna good news soon zinakuja