Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Mnatafuta matumaini sio [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakunaga watoto wa hao unao waita wakubwa wanafanya kazi TRA, 90% ya staff ni waliotoka familia za kawaida na wengine hali ngumu kimaisha...Huenda kuna watoto wa wakubwa walipata below 50 so wanaangalia namna ya kuwabeba.
Wewe wasema hivyoHakunaga watoto wa hao unao waita wakubwa wanafanya kazi TRA, 90% ya staff ni waliotoka familia za kawaida na wengine hali ngumu kimaisha...
Mbona mm imechange tena kutoka shortlisted imekua selected for oral tena kuna nnKwanza hii weak inaweza issishe wakatoa matokeo kabisa
Oral ulifanya?Mbona mm imechange tena kutoka shortlisted imekua selected for oral tena kuna nn
Ndio nilfanyaOral ulifanya?
Mbona mm imechange tena kutoka shortlisted imekua selected for oral tena kuna nn
Daah ni zoezi linalochukua mda ss
Sas oral mara mbili kweli kaka af watu tunatoka mbali, ilaa ya mungu mengi ngoja tuone mpaka mwaishoNaamini linakaribia kumalizika wiki hii haiishi
Basi ni system tu imeshake.Ndio nilfanya
Acha uogaSas oral mara mbili kweli kaka af watu tunatoka mbali, ilaa ya mungu mengi ngoja tuone mpaka mwaisho
ItakuaBasi ni system tu imeshake.
Uoga lazimaa mkuu wangu mtaa ni nomaa vitu havisogeiAcha uoga
Mfano nafasi za kazi 100 ,walikuwa shortlisted ni 800 hiyo ni ratio ya 1:8 na waliofaulu ni 200 kwenda oral kati ya nafasi 100 kati ya watu 800 haizuii usahili kuendelea maana yake ile ratio ya 1:8 tayari imefanyika hata kama sio 1:3. Shida wabongo nafasi zikiwa 100 wakaitwa watu 10,000 utasikia nyomi mnaenda kupoteza nauli na muda ,hizo nafasi zina wenyewe. Yaani sisi ngozi nyeusi tuna shida sana.msidanganyike kanuni ili ufanye oral laxima kuanzia 50 tena inategemeana na waliofaulu kama waliopiga written na oral hawatoshi nafasi zinatangazwa tena ula sio waliopata chini ya 50 wafanye oral