Hili ndilo Jicho langu la Kiufundi kabisa kwa matokeo ya leo na kwanini Mfalme wa Nyika amefanyiwa Kitu mbaya na Wamakonde

Hili ndilo Jicho langu la Kiufundi kabisa kwa matokeo ya leo na kwanini Mfalme wa Nyika amefanyiwa Kitu mbaya na Wamakonde

1. Timu ya Simba SC tulijiamini kupita Kiasi.
2. Timu ya Simba SC tuliwadharau sana Wapinzani.
3. Timu ya Simba SC ilijiandaa Kupata Mapato Uwanjani na siyo Matokeo mazuri Uwanjani.
4. Timu ya Simba SC imemkaribisha Kiongozi Mmoja wa Serikali ambaye anakiharibu Kikosi.
5. Kocha wa Simba SC hasa Mchezo wa leo atakuwa Kapanga Kikosi kwa Shinikizo.
6. Kocha wa Simba SC hakutakiwa kabisa Kumpanga leo Golini Kipa Aishi Manula kwani bado hakuwa na Utayari wa Kucheza na Kitendo cha kumwacha Benchi Kipa Beno Kakolanya ambaye alishakuwa vizuri na hata Mechi ya awali na hawa UD Songo alidaka Yeye alikuwa tayari katika nafasi nzuri ya Kuwasoma na alishawafahamu tofauti na Aishi Manula ambaye aliitizama UD Songo akiwa Dar es Salaa akiuguza Majeraha yake. Hapa Kosa Kubwa mno la Kiufundi limefanyika na Kocha wa Simba SC anatakiwa atuombe Radhi wana Simba SC wote.
7. Kiongozi aliyeamuru Kuachwa kwa akina Kotei, Okwi na Niyonzima ametugharimu mno kwani Kikosi hakikutakiwa Kubadilishwa vile kutokana na kwamba hata Wachezaji walikuwa tayari wameshazoena vyema. Sijaona Tija ya Simba SC Kuwasajili Wachezaji wa Kibrazili tena ambao wengi wao ni Pancha ( Majeruhi ) na hata Uwezo wao wa Kimpira siyo ule ambao unaweza Kuwashawishi akina siye tuliobahatika kidogo Kucheza mpira hata kama siyo wa Kiwango Kikubwa kama cha Wachezaji wa Ligi Kuu.

Sijaona tatizo na hadi leo najiuliza kama kweli Simba SC ina Mwekezaji Mohammed Dewji ilishindwaje Kumalizana mapema na Wachezaji muhimu kama akina Kotei, Okwi na Niyonzima kisha wakakimbilia Kutusajilia hawa Magalasa Wabrazili? Hivi tukiacha Utani na Unafiki Francis Kahata anamfikia Haruna Niyonzima Kiuwezo? Kama kuna Wachezaji ambao naweza kusema Simba SC imefanya vyema Kuwasajili ni wawili tu Sharaf Shiboub na Deogratius Kanda ila waliobaki wote ni Takataka tupu na hawana uwezo wa Kuichezea Klabu ya Simba.

Kocha Mkuu wa Simba SC nae anaanza Kutuchanganya kwani haingii akilini anamuacha Golikipa Beno Kakolanya ambaye sasa yupo relini ( katika moto / mstari ) anatupangia Aishi Manula ambaye Kiutaalam kabisa Fitness yake haijazidi hata 25% ila Kocha analazimishwa Kumpanga kwa Shinikizo la Kiongozi fulani wa Mkoa ambaye ni Swahiba wake kwa Kusaidiana na baadhi ya Viongozi wa Simba SC bila kujua kuwa huo Upumbavu wao unaigharimu Simba SC na leo umetugharimu kweli.

Najua wana Simba SC wote tumeumia ila kama aliyeumia mno naweza kusema ni Mimi kwakuwa kwa Kuchanganyikiwa na Kutolewa mapema hivi nimekoswakoswa na dhahama moja mahala fulani Jioni hii na Kiukweli hata Usiku wangu wa leo utakuwa ni mkubwa na sijui Kesho nitaficha wapi Sura yangu na hasa ukizingatia kuwa nazungukwa na wana Yanga kwa 98% ya Maisha yangu na Mizunguko yangu.

Viongozi wa Simba SC na Wachezaji wa Simba SC leo mmetuangusha na mmetuumiza mno.
Manula kakosea nini jana? Point hii na ya sijui mwanasiasa imenifanya nikuone sio mtu wa mpira bali siasa kama kawaida... tuachie michezo mkuu, nenda siasani...
Lile goli kama kuamua kumlaumu mtu ni Kagere...hivi ulitegemea Manula kawapanga vizuri kwenye ukuta alafu yeye anakaa sehemu nyingine akiamini ukuta utafanya kazi alafu baada ya mpigaji faulo kupiga kagere anakwepa ulitaka manula afanyaje?

Ishu kubwa ni kujiamini kupita kiasi, wachezaji, viongozi na mashabiki...pia kuamini kwamba afrika kila mtu ashinde kwake..
 
1. Timu ya Simba SC tulijiamini kupita Kiasi.
2. Timu ya Simba SC tuliwadharau sana Wapinzani.
3. Timu ya Simba SC ilijiandaa Kupata Mapato Uwanjani na siyo Matokeo mazuri Uwanjani.
4. Timu ya Simba SC imemkaribisha Kiongozi Mmoja wa Serikali ambaye anakiharibu Kikosi.
5. Kocha wa Simba SC hasa Mchezo wa leo atakuwa Kapanga Kikosi kwa Shinikizo.
6. Kocha wa Simba SC hakutakiwa kabisa Kumpanga leo Golini Kipa Aishi Manula kwani bado hakuwa na Utayari wa Kucheza na Kitendo cha kumwacha Benchi Kipa Beno Kakolanya ambaye alishakuwa vizuri na hata Mechi ya awali na hawa UD Songo alidaka Yeye alikuwa tayari katika nafasi nzuri ya Kuwasoma na alishawafahamu tofauti na Aishi Manula ambaye aliitizama UD Songo akiwa Dar es Salaa akiuguza Majeraha yake. Hapa Kosa Kubwa mno la Kiufundi limefanyika na Kocha wa Simba SC anatakiwa atuombe Radhi wana Simba SC wote.
7. Kiongozi aliyeamuru Kuachwa kwa akina Kotei, Okwi na Niyonzima ametugharimu mno kwani Kikosi hakikutakiwa Kubadilishwa vile kutokana na kwamba hata Wachezaji walikuwa tayari wameshazoena vyema. Sijaona Tija ya Simba SC Kuwasajili Wachezaji wa Kibrazili tena ambao wengi wao ni Pancha ( Majeruhi ) na hata Uwezo wao wa Kimpira siyo ule ambao unaweza Kuwashawishi akina siye tuliobahatika kidogo Kucheza mpira hata kama siyo wa Kiwango Kikubwa kama cha Wachezaji wa Ligi Kuu.

Sijaona tatizo na hadi leo najiuliza kama kweli Simba SC ina Mwekezaji Mohammed Dewji ilishindwaje Kumalizana mapema na Wachezaji muhimu kama akina Kotei, Okwi na Niyonzima kisha wakakimbilia Kutusajilia hawa Magalasa Wabrazili? Hivi tukiacha Utani na Unafiki Francis Kahata anamfikia Haruna Niyonzima Kiuwezo? Kama kuna Wachezaji ambao naweza kusema Simba SC imefanya vyema Kuwasajili ni wawili tu Sharaf Shiboub na Deogratius Kanda ila waliobaki wote ni Takataka tupu na hawana uwezo wa Kuichezea Klabu ya Simba.

Kocha Mkuu wa Simba SC nae anaanza Kutuchanganya kwani haingii akilini anamuacha Golikipa Beno Kakolanya ambaye sasa yupo relini ( katika moto / mstari ) anatupangia Aishi Manula ambaye Kiutaalam kabisa Fitness yake haijazidi hata 25% ila Kocha analazimishwa Kumpanga kwa Shinikizo la Kiongozi fulani wa Mkoa ambaye ni Swahiba wake kwa Kusaidiana na baadhi ya Viongozi wa Simba SC bila kujua kuwa huo Upumbavu wao unaigharimu Simba SC na leo umetugharimu kweli.

Najua wana Simba SC wote tumeumia ila kama aliyeumia mno naweza kusema ni Mimi kwakuwa kwa Kuchanganyikiwa na Kutolewa mapema hivi nimekoswakoswa na dhahama moja mahala fulani Jioni hii na Kiukweli hata Usiku wangu wa leo utakuwa ni mkubwa na sijui Kesho nitaficha wapi Sura yangu na hasa ukizingatia kuwa nazungukwa na wana Yanga kwa 98% ya Maisha yangu na Mizunguko yangu.

Viongozi wa Simba SC na Wachezaji wa Simba SC leo mmetuangusha na mmetuumiza mno.
Narudia tena hamna mbrazil mbovu hata mmoja pale, mmekaririshwa. Nafasi ya Kotei Fragha anacheza tena kwa akili na ufanisi mkubwa sana, nafasi ya Wawa anacheza Dos Santos vizuri sana. Shida ya Simba sio usajili ni kocha asiyekuwa na mbinu za kimpira.
 
Simba inatakiwa kwanza kuachana na mambo ya kizamani ya kiujanja ujanja kama kununjua tim pinzani na marefa au kupulizia dawa vyumba vya tim pinzan ili kupata ushindi.
Rubbish
 
Simba inatakiwa kwanza kuachana na mambo ya kizamani ya kiujanja ujanja kama kununjua tim pinzani na marefa au kupulizia dawa vyumba vya tim pinzan ili kupata ushindi.
"Ni bora kutumia yale ya kuruka ukuta au kutumia mlango usio rasmi sio"
 
Wamatopeni Uwanjani Mnaingia Na Matokeo Yenu.

Vibanda Umiza Navyo Mnaingia Na Matokeo Yenu Mfukoni.


Tulieni Dawa Ipenye
 
Kujiamn kupita kiasi ndicho kitu kilichowagharm simba
Nani aliyejiamini wachezaji au mashabiki, kama mashabiki hata wakijiamini hawana athari yoyote, kama timu kujiamini sio kweli, Simba wamecheza na Azam vizuri sana, wamesajili vizuri sana wamefanya preaseason vizuri sana, kama wangekuwa wanajiamini wasingefanya yote hayo. Kushindwa kufuzu ni matokeo ya kocha Aussems na anatakiwa awajibike haraka sana.
 
Umecheza mpira au umejiffunza mpira wapi na lini? Narudia tena kusema huku nikijiamini kabisa kuwa lile Goli ni Uzembe wake Kipa Aishi Manula ambaye hakuwa Fiti Kimchezo wa leo ila amepangwa tu kwa Shinikizo la Viongozi fulani huku Kocha nae akilazimishwa lakini hakustahili Kudaka kabisa leo. Nina uhakika kwa Utimamu wa Kimwili huku tayari akiwa katika Reli / Moto Kipa Beno Kakolanya asingefungwa lile Goli. Na Wapuuzi wachache kama Wewe ndiyo mnamvimbisha Kichwa Aishi Manula ambaye hata hivyo siyo mzuri kivile ila uzuri wake unatokana na Beki Imara inayomlinda. Ndiyo maana nimefurahi mno kuona amepata Changamoto mpya kutoka kwa Kipa Juma Kaseja na kwa Fomu ya hali ya juu aliyoionyesha jana Kipa wa Yanga SC Metacha Mnata kule Gaborone Botswana huyu Aishi Manula wako Namba ya Taifa Stars ataisikia katika Bomba hata kama Mtetezi wake na Kipenzi chake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ataingilia kati kama alivyoingilia kati leo Aishi Manula aanze na hatimaye ametuchomesha Simba SC kwakuwa hakuwa Fiti 100%.
Hili la mkuu wa mkoa ni ubuyu tu wala siwezi kukuamini, mnachojua toka Aussems anaingia Simba huwa sio mzuri wa kupanga timu, kufanya subs na hata kimbinu ni mtupu sana na ndio maana walihombana na Masoud Djuma.
 
Akili za kimbumbumbu hizi.

Mtaani kupo kimya, zile fyokofyoko hakuna tena shenzi kabisa.
Mashabiki lazima waishangilie timu yao ikifanya vizuri hiyo ipo dunia nzima, au hujui mpira.
 
Pole sana kiongozi,
Kwa bahati mbaya mechi ya simba leo nineisikiliza redioni (kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika).
Baada ya mechi kuisha nikamwambia jamaa niliyekuwa nae mida hiyo kuwa " Kocha wa Simba anapaswa kulaumiwa kwa matikeo haya"

Sababu zangu zilitokana zaidi na nilivosikiliza,,,
Katika kusikiliza niligundua intentiona ya wapinzani wetu kuwa ni goli la ugenini la mapema". nasikitika kuona kuwa kocha wangu hakujua hilo hadi pale goli linafungwa.


Najiuliza kwanini hakuweza kujioanga haraka kuzuia mashambulizi ya UD songo kabla hayajaleta madhara,,,, ndo maana namlaum kocha.


Lakini kikosi cha Simba ni kizuri ,,, kocha aachwe huru ,,, simba tunarudi tena msimu ujao kwenye Champions league.
Kwenye kocha tu umekosea, aondoke tumuweke hata Matola anatosha ubingwa mapema kwa kikosi hiki.
 
Manula kakosea nini jana? Point hii na ya sijui mwanasiasa imenifanya nikuone sio mtu wa mpira bali siasa kama kawaida... tuachie michezo mkuu, nenda siasani...
Lile goli kama kuamua kumlaumu mtu ni Kagere...hivi ulitegemea Manula kawapanga vizuri kwenye ukuta alafu yeye anakaa sehemu nyingine akiamini ukuta utafanya kazi alafu baada ya mpigaji faulo kupiga kagere anakwepa ulitaka manula afanyaje?

Ishu kubwa ni kujiamini kupita kiasi, wachezaji, viongozi na mashabiki...pia kuamini kwamba afrika kila mtu ashinde kwake..
Kujiamini kupita kiasi kivipi, wamesajili vizuri, wamefanya preseason vizuri, wamejituma sana kwa Azam, unasemaje wamejiamini sana
 
Umepost as if wapinzani ni timu ndogo sana. UD SONGO ni timu iliyokuwa pamoja zaidi ya miaka 3 na ilitishia mwaka jana kuitoa Tp Mazembe. Kosa la Simba kuacha kucheza Kagame yenye pressure na kuishia kirafiki tu. Timu bado ila wachezaji wapo.. kwa Manula nakubali sijawahi ridhika nae ila ana nyota ya kupendwa. Kimataifa Simba ilimhitaji Kaseja hata tubishe vipi. Okwi na Kotei kuachwa ni sawa kwani mwisho wao ungefika tu. Kiufundi nadhani Kanda acheze na Kagere na sio Chama. Mwisho tuna shida ya kutokubali kuwa football ni game na sio process. Matokeo yake hayapangiki on equilbria. Ndio maana inachezwa muda fulani kwa dakika fulani i.e ingechezwa muda mwingine tungeweza pata matokeo tofauti that’s game for the played time. Lets take a breath and move on. That’s football.
 
1. Timu ya Simba SC tulijiamini kupita Kiasi.
2. Timu ya Simba SC tuliwadharau sana Wapinzani.
3. Timu ya Simba SC ilijiandaa Kupata Mapato Uwanjani na siyo Matokeo mazuri Uwanjani.
4. Timu ya Simba SC imemkaribisha Kiongozi Mmoja wa Serikali ambaye anakiharibu Kikosi.
5. Kocha wa Simba SC hasa Mchezo wa leo atakuwa Kapanga Kikosi kwa Shinikizo.
6. Kocha wa Simba SC hakutakiwa kabisa Kumpanga leo Golini Kipa Aishi Manula kwani bado hakuwa na Utayari wa Kucheza na Kitendo cha kumwacha Benchi Kipa Beno Kakolanya ambaye alishakuwa vizuri na hata Mechi ya awali na hawa UD Songo alidaka Yeye alikuwa tayari katika nafasi nzuri ya Kuwasoma na alishawafahamu tofauti na Aishi Manula ambaye aliitizama UD Songo akiwa Dar es Salaa akiuguza Majeraha yake. Hapa Kosa Kubwa mno la Kiufundi limefanyika na Kocha wa Simba SC anatakiwa atuombe Radhi wana Simba SC wote.
7. Kiongozi aliyeamuru Kuachwa kwa akina Kotei, Okwi na Niyonzima ametugharimu mno kwani Kikosi hakikutakiwa Kubadilishwa vile kutokana na kwamba hata Wachezaji walikuwa tayari wameshazoena vyema. Sijaona Tija ya Simba SC Kuwasajili Wachezaji wa Kibrazili tena ambao wengi wao ni Pancha ( Majeruhi ) na hata Uwezo wao wa Kimpira siyo ule ambao unaweza Kuwashawishi akina siye tuliobahatika kidogo Kucheza mpira hata kama siyo wa Kiwango Kikubwa kama cha Wachezaji wa Ligi Kuu.

Sijaona tatizo na hadi leo najiuliza kama kweli Simba SC ina Mwekezaji Mohammed Dewji ilishindwaje Kumalizana mapema na Wachezaji muhimu kama akina Kotei, Okwi na Niyonzima kisha wakakimbilia Kutusajilia hawa Magalasa Wabrazili? Hivi tukiacha Utani na Unafiki Francis Kahata anamfikia Haruna Niyonzima Kiuwezo? Kama kuna Wachezaji ambao naweza kusema Simba SC imefanya vyema Kuwasajili ni wawili tu Sharaf Shiboub na Deogratius Kanda ila waliobaki wote ni Takataka tupu na hawana uwezo wa Kuichezea Klabu ya Simba.

Kocha Mkuu wa Simba SC nae anaanza Kutuchanganya kwani haingii akilini anamuacha Golikipa Beno Kakolanya ambaye sasa yupo relini ( katika moto / mstari ) anatupangia Aishi Manula ambaye Kiutaalam kabisa Fitness yake haijazidi hata 25% ila Kocha analazimishwa Kumpanga kwa Shinikizo la Kiongozi fulani wa Mkoa ambaye ni Swahiba wake kwa Kusaidiana na baadhi ya Viongozi wa Simba SC bila kujua kuwa huo Upumbavu wao unaigharimu Simba SC na leo umetugharimu kweli.

Najua wana Simba SC wote tumeumia ila kama aliyeumia mno naweza kusema ni Mimi kwakuwa kwa Kuchanganyikiwa na Kutolewa mapema hivi nimekoswakoswa na dhahama moja mahala fulani Jioni hii na Kiukweli hata Usiku wangu wa leo utakuwa ni mkubwa na sijui Kesho nitaficha wapi Sura yangu na hasa ukizingatia kuwa nazungukwa na wana Yanga kwa 98% ya Maisha yangu na Mizunguko yangu.

Viongozi wa Simba SC na Wachezaji wa Simba SC leo mmetuangusha na mmetuumiza mno.
Vipi yule mpemba wako hakusema chochote?
 
Simba inatakiwa kwanza kuachana na mambo ya kizamani ya kiujanja ujanja kama kununjua tim pinzani na marefa au kupulizia dawa vyumba vya tim pinzan ili kupata ushindi.
Naona UGORO ulio bwia UMEKUZIDI NGUVU.
 
Narudia tena hamna mbrazil mbovu hata mmoja pale, mmekaririshwa. Nafasi ya Kotei Fragha anacheza tena kwa akili na ufanisi mkubwa sana, nafasi ya Wawa anacheza Dos Santos vizuri sana. Shida ya Simba sio usajili ni kocha asiyekuwa na mbinu za kimpira.
Unaweza kumlaumu kocha kihivyo iwapo tu una hakika usajili wa hao Wabrazili ni uamuzi wake. Inahitaji kocha mlokole mno kujenga imani kwa mchezaji asiye chaguo lake.
 
1. Timu ya Simba SC tulijiamini kupita Kiasi.
2. Timu ya Simba SC tuliwadharau sana Wapinzani.
3. Timu ya Simba SC ilijiandaa Kupata Mapato Uwanjani na siyo Matokeo mazuri Uwanjani.
4. Timu ya Simba SC imemkaribisha Kiongozi Mmoja wa Serikali ambaye anakiharibu Kikosi.
5. Kocha wa Simba SC hasa Mchezo wa leo atakuwa Kapanga Kikosi kwa Shinikizo.
6. Kocha wa Simba SC hakutakiwa kabisa Kumpanga leo Golini Kipa Aishi Manula kwani bado hakuwa na Utayari wa Kucheza na Kitendo cha kumwacha Benchi Kipa Beno Kakolanya ambaye alishakuwa vizuri na hata Mechi ya awali na hawa UD Songo alidaka Yeye alikuwa tayari katika nafasi nzuri ya Kuwasoma na alishawafahamu tofauti na Aishi Manula ambaye aliitizama UD Songo akiwa Dar es Salaa akiuguza Majeraha yake. Hapa Kosa Kubwa mno la Kiufundi limefanyika na Kocha wa Simba SC anatakiwa atuombe Radhi wana Simba SC wote.
7. Kiongozi aliyeamuru Kuachwa kwa akina Kotei, Okwi na Niyonzima ametugharimu mno kwani Kikosi hakikutakiwa Kubadilishwa vile kutokana na kwamba hata Wachezaji walikuwa tayari wameshazoena vyema. Sijaona Tija ya Simba SC Kuwasajili Wachezaji wa Kibrazili tena ambao wengi wao ni Pancha ( Majeruhi ) na hata Uwezo wao wa Kimpira siyo ule ambao unaweza Kuwashawishi akina siye tuliobahatika kidogo Kucheza mpira hata kama siyo wa Kiwango Kikubwa kama cha Wachezaji wa Ligi Kuu.

Sijaona tatizo na hadi leo najiuliza kama kweli Simba SC ina Mwekezaji Mohammed Dewji ilishindwaje Kumalizana mapema na Wachezaji muhimu kama akina Kotei, Okwi na Niyonzima kisha wakakimbilia Kutusajilia hawa Magalasa Wabrazili? Hivi tukiacha Utani na Unafiki Francis Kahata anamfikia Haruna Niyonzima Kiuwezo? Kama kuna Wachezaji ambao naweza kusema Simba SC imefanya vyema Kuwasajili ni wawili tu Sharaf Shiboub na Deogratius Kanda ila waliobaki wote ni Takataka tupu na hawana uwezo wa Kuichezea Klabu ya Simba.

Kocha Mkuu wa Simba SC nae anaanza Kutuchanganya kwani haingii akilini anamuacha Golikipa Beno Kakolanya ambaye sasa yupo relini ( katika moto / mstari ) anatupangia Aishi Manula ambaye Kiutaalam kabisa Fitness yake haijazidi hata 25% ila Kocha analazimishwa Kumpanga kwa Shinikizo la Kiongozi fulani wa Mkoa ambaye ni Swahiba wake kwa Kusaidiana na baadhi ya Viongozi wa Simba SC bila kujua kuwa huo Upumbavu wao unaigharimu Simba SC na leo umetugharimu kweli.

Najua wana Simba SC wote tumeumia ila kama aliyeumia mno naweza kusema ni Mimi kwakuwa kwa Kuchanganyikiwa na Kutolewa mapema hivi nimekoswakoswa na dhahama moja mahala fulani Jioni hii na Kiukweli hata Usiku wangu wa leo utakuwa ni mkubwa na sijui Kesho nitaficha wapi Sura yangu na hasa ukizingatia kuwa nazungukwa na wana Yanga kwa 98% ya Maisha yangu na Mizunguko yangu.

Viongozi wa Simba SC na Wachezaji wa Simba SC leo mmetuangusha na mmetuumiza mno.
Mikia FC mtajiju aka kujibeba.
 
Vipi yule mpemba wako hakusema chochote?

Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mimi cleverbright najuana sijui na Mpemba? Kama jibu lako ni ndiyo naomba uthibitishe na ukiweza uweke hapa hadharani na huo Ushahidi wako tafadhali.
 
Back
Top Bottom