Hili ndilo Jicho langu la Kiufundi kabisa kwa matokeo ya leo na kwanini Mfalme wa Nyika amefanyiwa Kitu mbaya na Wamakonde

Mashabiki lazima waishangilie timu yao ikifanya vizuri hiyo ipo dunia nzima, au hujui mpira.

Sisi wengine hatujui mpira, nyinyi mbumbumbu ndio mnajua soka.

Hongereni sana kwa kusonga mbele.......Mikia FC
 
Unaweza kumlaumu kocha kihivyo iwapo tu una hakika usajili wa hao Wabrazili ni uamuzi wake. Inahitaji kocha mlokole mno kujenga imani kwa mchezaji asiye chaguo lake.

Heeh!! Kwani unataka kusema usajili wa Wabrazil ni chaguo la nani hapo mikiani?
 
Nendeni Mkamtake radhi Mheshimiwa Rais,ile kauli yake itaendelea kuwachoma sana au mmesahau alichokisema wakati mnapewa kichapo na Kagera sukari pale Taifa?,alisema kwampira aliouona mkicheza hamwezi kufika mbali kwenye mashindano ya Kimataifa,Rais aliona mbali na jana yametimia,asante Rais uliwachapa za uso kweli kweli maana soka lenu ni makidai mengi na huyo msema hovyo wenu Manara sijui Mandara.


Simba mmevuna mlichopanda,mliwaona wale madogo ni wa kawaida ,mkawachukuliaa poa bila kujua ndiyo waliwapa kichapo wababe wenu TP Mazembe cha 3-0,sasa mjipange sawa sawa maana mmeshavurugwa na kwenye Ligi msipoangalia itakula kwenu,nyambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafu
 

Daaah,umeandika vizuuuuri lakin hapo kwenye ligi ndo umekosea
 
Aliyefungisha goli ni Medy Kagere wacha kuandika vitu usivyovijuwa.
 
Hakuna mchawi.. tumetoka tujipange kwa muda mwingine, habari za Okwi, Kotei hazitaturudisha nyuma.
Timu yetu iko vzr ila yale ni matokeo tu kwenye mpira yapo.. Wachezaji watulie waamishie akili kwenya Ligi.
 
*BREAKING NEWS*

```Kutokana na sheria mpya za CAF , Yanga ikitolewa Champions ligi itaenda Shirikisho. Pia kutokana na sheria mpya za CUF ya Lipumba, Simba ikitolewa Champions Ligi itaenda mojakwamoja Nangwanda Sijaona kupambana na Ndanda.```
 
Okwi alitaka milion 400 na salary ya million 12 nan angetoa?

Ile goli sio kosa la kipa
hivi Ajibu Simba anahitajika kwa aina ya wachezaji tulionao, Ndemla tunamtumiaje pamoja na kumwongeza mkataba tulitakiwa kuacha baadhi ya wachezaji kama Ajib na Ndemla sababu hatutapoteza kitu badala yake pesa ya kuwasajili tukamwongezea Okwi pamoja na pesa ya mshahara wawa anapata mshahara karibuni milioni nane na nusu kwa uwezo upi Okwi alikuwa sahihi kuondoka na kwenda sehemu ambayo wanathamini uwezo wake
 
*BREAKING NEWS*

```Kutokana na sheria mpya za CAF , Yanga ikitolewa Champions ligi itaenda Shirikisho. Pia kutokana na sheria mpya za CUF ya Lipumba, Simba ikitolewa Champions Ligi itaenda mojakwamoja Nangwanda Sijaona kupambana na Ndanda.```
 
*BREAKING NEWS*

```Kutokana na sheria mpya za CAF , Yanga ikitolewa Champions ligi itaenda Shirikisho. Pia kutokana na sheria mpya za CUF ya Lipumba, Simba ikitolewa Champions Ligi itaenda mojakwamoja Nangwanda Sijaona kupambana na Ndanda.```
Huko Nangwanda hata Yanga wataenda, issue ni kuwa watashinda?
 
Walipoenda pre - season kusini, mlisifu kikosi, walipocheza ngao ya jamii, mlisifu kikosi walipocheza Simba day, mlisifu kikosi, leo kwa kutoka sare na UD Songo mnaanza maneno. Kwani Simba lazima washinde wao tu? Timu zingine hazitakiwi kushinda?
 
Aliyefungisha goli ni Medy Kagere wacha kuandika vitu usivyovijuwa.

Kazi ya Golikipa ni nini? Acha Upumbavu tafadhali sawa? Na kama kweli Wewe unajua Mpira naomba Kukuuliza je ile Penati tuliyopewa Simba SC ilkuwa ni ya halali? Nasubiri jibu lako hapa ili nijue Wewe ni Mwanamichezo kweli au ni Shabiki Takataka kama walivyo wengi nchini.
 

Wenye Akili kama hii yako na Mitizamo kama hii yenye Tija ndani ya Simba SC na hata Yanga SC kama si Tanzania kwa ujumla wapo Wachache sana Kiongozi.
 
Lile goli ni uzembe wa Manula?! Em kuwa specific ni mpira gani uliowahi kucheza?!
 
Mawazo mufilisi
 
Wewe Kama huna stress za.... Lazima utakuwa unabugia za kienyeji
 
manara tu ndo kasababisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…