Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Hata mimi nakuunga mkono Mkuu. Kwa kuwa mahitaji ya kikosi kilichosajiliwa yalikuwa ya michuano ya kimataifa na kwa kuwa sasa timu imefurushwa huko. Kinachofuata ni kuwapeleka kwenye mkopo wachezaji kama Ajibu, Ndemla na wale Wabrazil ili rasimali za timu zitumike vizuri kuijenga upya timu.hivi Ajibu Simba anahitajika kwa aina ya wachezaji tulionao, Ndemla tunamtumiaje pamoja na kumwongeza mkataba tulitakiwa kuacha baadhi ya wachezaji kama Ajib na Ndemla sababu hatutapoteza kitu badala yake pesa ya kuwasajili tukamwongezea Okwi pamoja na pesa ya mshahara wawa anapata mshahara karibuni milioni nane na nusu kwa uwezo upi Okwi alikuwa sahihi kuondoka na kwenda sehemu ambayo wanathamini uwezo wake