joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Tafadhali tunaomba mtuwekee " inventory " ya silaha za jeshi lenu la majini, na tuzione silaha zenu ili timalize huu ubishi. Usilete Maneno matupu.Mbona mmeitwika bendera ya uchina?
Tunasubiri hizo zenu za nguvu tuzione, kama huwezi weka, basi ujue Tanzania sio level yenu.Hakuna kitu ya maana hapa,
Letea watu machines za nguvu zikiwa operation,
Si show ground
Mbona mmeitwika bendera ya uchina?
Bendera ya China unaijua wewe!!??..nyie wakenya ni monkey yaani ukiona kitambaa chenyewe rangi nyekundu basi ni bendera ya uchina!!Mbona mmeitwika bendera ya uchina?
Mwambie akiona gari ina hiyo bendera aikalie mbali asije akaenda kwao kunyaland huku akilaumu wabongoHiyo ni bendera Nyekundu ikimaanisha hatari, hapa Tanzania, vyombo vyote vya ulinzi vinaweka bendeta nyekundu wakati wa operation maalumu.
POLISI hao wakifanya mazoezi, angalia bendera nyekundu hiyo
Tuwekeeni" inventory " na picha ya silaha za jeshi lenu la "Navy", mbona mumeishiwa nguvu ghafla?. Hahahaha, hahahahaKazi yao kubwa ni kudhibiti wapinzani[emoji1787][emoji1787]
Tuwekeeni" inventory " na picha ya silaha za jeshi lenu la "Navy", mbona mumeishiwa nguvu ghafla?. Hahahaha, hahahaha
Acheni kucheza na JW
Tuwekeeni" inventory " na picha ya silaha za jeshi lenu la "Navy", mbona mumeishiwa nguvu ghafla?. Hahahaha, hahahaha
Acheni kucheza na JW
Meli zenu zote ni second hand Kutoka China infact zilitolewa vifaa vingine ambavyo JTWZ haikuwa inahitaji before they were delivered.
Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"
Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.
πππππππππ Comedy hour ππ
Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"
Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.
Hahahaha. Kuanzia Leo mjue kwamba sisi sio level, yenu. Ninyi endeleeni kununua " scrappers ", pakeni rangi na mfikirie mnaweza kupigana na sisi.Meli zenu zote ni second hand Kutoka China infact zilitolewa vifaa vingine ambavyo JTWZ haikuwa inahitaji before they were delivered.
Nyekundu Ni ya msaada Kama vile red Cross hata hivyo vifaa mlioewa bure na Uchina baada ya kushangaa watavitupa wapi...Kama hiyo nyekundu hiyo nyekundu ndio mlienda nayo kongo, ndio ikawafanya wanamgambo mipanga wakawavamia wakifikiri Ni wanajeshi msalaba mwekundu ππππHiyo ni bendera Nyekundu ikimaanisha hatari, hapa Tanzania, vyombo vyote vya ulinzi vinaweka bendeta nyekundu wakati wa operation maalumu.
Hawa ni fire brigade ama polisi?π€£π€£π€£POLISI hao wakifanya mazoezi, angalia bendera nyekundu hiyo
Hahaa you are just having verbal diorrahea.hata ku transport,ku supply nakufanya medavac over long distances and rough terrain hamna uwezo .The least you can do against Kenya is defending your self for a few days.Hahahaha. Kuanzia Leo mjue kwamba sisi sio level, yenu. Ninyi endeleeni kununua " scrappers ", pakeni rangi na mfikirie mnaweza kupigana na sisi.
Mara " ooh, hizo ni vifaa vya China hata vikiwa "New" haviko sawa. Mara ooh, hivyo ni used.
Tanzania hata Kijiko ofisini, sheria hairuhusu kununua "used".
Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"
Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.