Nilifikiri ni wanamgambo Hadi pale mtangazaji akajitokeza kumbe Ni JWTZ ππππππ wacha nikalale I have seen enough comedy today. Watanzania mtanimaliza kwa kunichekesha ππππππTunajaribu silaha nyepesi nyepesi
Ubishani sawa tunaluhusu ila msijalibu kulinganisha "jeshi la tanzania na vitu vya kijingaa"
Jamaa wanatumia pickup trucks Kama zile za alshabaab π€£π€£.... Hao kweli Ni simba wa jeshi .Tunajaribu silaha nyepesi nyepesi
Sasa ambush ya mapamga masaa kumi na tatu...duh!!kali sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usijali jomba, ugua pole pole tu
Kwn nynyi ndio mna successful mission hata moja..
Au unaongelea kuhusu zile collabo?
Hyo red huwa tunatumia kumaanisha danger but poleni madude ni yetu mkikwama msifute kutuitaππ[emoji23][emoji23][emoji23] kwani Tz walichange flag zao na hatujui, huyu jamaa should be studied
Talk with full evidence ππyes hatuna mambo mengi but tnaweza kuwadhibiti
mind you hauwezi kushinda vita bila ya kua na askari on ground(hapa ndo tmewaweza)
tmewaweza angani tmewaweza majini the rest is history
The following is a list of wars involving Tanzania since its formation in 1964.
Conflict Combatant 1 Combatant 2 Results
Mozambican Civil War
(1977β78; 1987β88) FRELIMO
Tanzania
Zimbabwe RENAMO
Rhodesia Stalemate
Rome General Peace Accords
UgandaβTanzania War
(1978β79) Tanzania
UNLA
Mozambique Uganda
Libya Victory
Overthrow
Idi Amin in Uganda
Invasion of Anjouan
(2008) Tanzania
Sudan
Comoros
Senegal Anjouan Victory
Toppling of
Mohamed Bacar
M23 Rebellion
(2013) DR Congo
South Africa
Tanzania
Malawi M23 Victory
Surrender M23
ADF Insurgency
(2015β) DR Congo
Uganda
South Africa
Tanzania
Malawi ADF Ongoing
UNFIB interventio in 2015
Usiongee tu collabo je nan aliongoza brigade kwa mapambano km sio TZ
Unaona unapoyumba?
Bunduki imekua panga
Featuring akina fulani...yani zote collabo
Jwtz walikatwa mapanga jomba...mbna vitu vipo wazi kabisa
Acha ushamba wewe, hao ni askari wa miguu hawatumii MAGARI, hilo gari jeupe limewaleta hao waandishi wa habari.Jamaa wanatumia pickup trucks Kama zile za alshabaab [emoji1787][emoji1787].... Hao kweli Ni simba wa jeshi .
Ninyi Collabo moja tu, tena mnapata support ya nchi nyingi, ikiwemo USA lakini bado mnauliwa kama kuku.Featuring akina fulani...yani zote collabo
Alshabaab walivamia kambi za KDF wakaua 2000, wakawabaka wengine na kuwaachia huru.Jwtz walikatwa mapanga jomba...mbna vitu vipo wazi kabisa
Alshabaab walivamia kambi za KDF wakaua 2000, wakawabaka wengine na kuwaachia huru.
Ninyi Collabo moja tu, tena mnapata support ya nchi nyingi, ikiwemo USA lakini bado mnauliwa kama kuku.
Kwhyo tumeshindwa wote pamoja na USA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
Basi jwtz zaidi ya wamarekani
USA hakuwahi kushinda ground battle yeye ni mtu wa vita za anga na missiles ground battle haziwezi
Kukatwa mapanga na kubakwa lipi tatizo?, hadi Leo kuna askari wa KDF wanashikiliwa na Alshabaab na wamegeuzws kuwa wanawake wanaliwa TIGOHaibadilishi km jwtz walikatwa mapanga
Kwhyo jwtz mnawachraza USA kw ground battle[emoji848][emoji848][emoji848]