lile lenye kisima juu? ,😂Ivi na lile Ghorofa la Madam mwijaku, bei si hiyo hiyo M400 🤔?
Yeah mkuu, 😁lile lenye kisima juu? ,😂
Haji manara anaishi kana kwamba anakufa kesho!!Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.
Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.
View attachment 2876313
Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.
Nini maoni yako?
kwahyo unataka kusema gauni ya zaikyssa ni sawa na Ngorofa ya mwinjako!?,😂Yeah mkuu, 😁
Kama gagulo la zaiK ni 400M, basi ni Sawa na ule mjengo wa madamu Mkwahyo unataka kusema gauni ya zaikyssa ni sawa na Ngorofa ya mwinjako!?,😂
Madam NANI?Ivi na lile Ghorofa la Madam mwijaku, bei si hiyo hiyo M400 🤔?