Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Madam MMa
Madam NANI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam MMa
Madam NANI?
Ila nchi hii bana...Kiukweli amependeza, everything is on point.
Kwenye suala la gharama nawaachia wenyewe.
Wewe[emoji3][emoji3][emoji6]lile lenye kisima juu? ,[emoji23]
Naskia mzungu anaugonjwa wa kuzimia[emoji3][emoji3]Kiukweli amependeza, everything is on point.
Kwenye suala la gharama nawaachia wenyewe.
Mzungu wa magomeni anaugonjwa wa kuzimia...nguo 400m zawadi gari la 20mJana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.
View attachment 2876313
Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.
Nini maoni yako?
Hwendi mbinguni aisee😀😀😀😀😀🤣Ivi na lile Ghorofa la Madam mwijaku, bei si hiyo hiyo M400 🤔?
😬😬😬Hwendi mbinguni aisee😀😀😀😀😀🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ivi na lile Ghorofa la Madam mwijaku, bei si hiyo hiyo M400 [emoji848]?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda milioji 400 ya Zimbabwe
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.
View attachment 2876313
Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.
Nini maoni yako?