Hili ndio Gauni la Million 400 alilovaa Mchumba wa Haji Manara

Hili ndio Gauni la Million 400 alilovaa Mchumba wa Haji Manara

Nilidhani msope ni mlemavu wa ngozi tu kumbe mpaka akili.

Anatuona mbuzi sana kutufunga kamba gauni la 400M???

Au we ndo Msope mwenyewe maana kwa nyuzi za Msope humu kila dakika unazipandisha.

Ko gauni la laki moja umezidisha mara 4000 uje utunyweshe chai ya rangi humu?

Kwenda fesbuku kule na insta kwa low IQ wenzio, shubamit kenge ww
 
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.

View attachment 2876313

Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.

Nini maoni yako?
Mzungu wa magomeni anaugonjwa wa kuzimia...nguo 400m zawadi gari la 20m
 
Hii dunia hii.

Wakati matajiri wakubwa wengi wanaoheshimika kabisa wanajisifia kwa kuweza kununua na kutumia vitu kwa bei rahisi kabisa na kubana matumizi, masikini wengi wanajisifia kwa kufanya matumizi makubwa kabisa yaliyopita uwezo wao.

 
Kama wametaja liliponunuliwa basi rahisi watu kwenda kujionea...la sivyo ni kama post #2 alivyosema.

Ila hivi why hawa celebs wanafikiri watanzania ni wajinga.. hawaishi kwa standards za ki celeb kabisaaaa

Shame..
 
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.

View attachment 2876313

Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.

Nini maoni yako?
image_3499519a-1ec2-48ed-af9e-4b201d2dbfd5_1800x1800.jpg


Gauni linauzwa dola 2800 hivi, kwanza wamekodi, hivi huwa wanatuonaje?
Kama 7M Tshs
 
Back
Top Bottom