Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Maisha ya celebrities, yasiwaumize .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa Kichafu hahahaa wazee wa Factor by 100. Daaa bongo ukiwa muamini wa mtandaoni unakufaa na presha
Kama hilo kwenye picha na uwezo wa kuyanunua kama Mia hivi
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa. Hili ndio Gauni alilovaa Mchumba wa Manara lenye thamani ya Million 400.
View attachment 2876313
Watu wa karibu na Zay wanasema material zilizotumika kutengeneza hilo Gauni ndio zenye thamani ya Million 400.
Nini maoni yako?
Chips kavu na soda uswahilini ni sh 2100 hali airport ni sh elf 20.Kuna watu wana hela za mchezo. Gauni gani hilo sasa kwa 400M? Hapo Hata 1M baado amepigwa
Alaf kwa kuomba hawaHalafu baadae tuanze kuwasikia wakiomba mchango wa kugharamia matibabu!