Hili ndio soko kuu la samaki Moshi, Mji unaondaliwa kuwa Jjiji

Hili ndio soko kuu la samaki Moshi, Mji unaondaliwa kuwa Jjiji

Wenyeji wenyewe wamejazana. Sio mji rafiki kwa mgeni. Ukwieka biashara ama hata hiace/coaster wenyeji wakishajua kuwa ni ya chasaka hawapandi kabisa ama hawaji dukani kwako kununua..anasema yaani nikamnyanyue mtu asiye wa nyumbani.
Hata huko mkoani uliko chunguza Kama yupo anayeenda kununua kwa asiye wa kwao,sijui Kama litakuwa jiji kabla ya mpanda , sumbawanga,musoma ama Tabora Mana iyo miji iko afadhali kidogo Ila sio
Kiasi fulani ni ukweli wachaga wanapenda wao kwa wao
 
Kwa hiyo tozo 500 kwa siku halafu hata choo wala maji ya kuoshea samaki hakuna? hivi nani alituroga sisi watu weusi?
 
Kila mtu anatafuta namna ya kula hela hata hilo hatuwezi Ita soko bali kijiwe cha samaki
Kwa hiyo tozo 500 kwa siku halafu hata choo wala maji ya kuoshea samaki hakuna? hivi nani alituroga sisi watu weusi?
 
Wachaga wakwe zangu nawajua ni pasua kichwa sana .
Na wako makini sana
Naweza nikasema pia ni wabinafsi
Wenyeji wenyewe wamejazana. Sio mji rafiki kwa mgeni. Ukwieka biashara ama hata hiace/coaster wenyeji wakishajua kuwa ni ya chasaka hawapandi kabisa ama hawaji dukani kwako kununua..anasema yaani nikamnyanyue mtu asiye wa nyumbani.
Hata huko mkoani uliko chunguza Kama yupo anayeenda kununua kwa asiye wa kwao,sijui Kama litakuwa jiji kabla ya mpanda , sumbawanga,musoma ama Tabora Mana iyo miji iko afadhali kidogo Ila sio
 
Walipotoka kulikuwa na miundombinu yoyote? Hakuna tofauti kati ya walipo na walipotoka.
 
Back
Top Bottom