Kiasi fulani ni ukweli wachaga wanapenda wao kwa waoWenyeji wenyewe wamejazana. Sio mji rafiki kwa mgeni. Ukwieka biashara ama hata hiace/coaster wenyeji wakishajua kuwa ni ya chasaka hawapandi kabisa ama hawaji dukani kwako kununua..anasema yaani nikamnyanyue mtu asiye wa nyumbani.
Hata huko mkoani uliko chunguza Kama yupo anayeenda kununua kwa asiye wa kwao,sijui Kama litakuwa jiji kabla ya mpanda , sumbawanga,musoma ama Tabora Mana iyo miji iko afadhali kidogo Ila sio
Hilo Ni chaga, halina asili ya Babati robo.Mie Sina shida bana sema dada zako wazuri ni balaa.yaani utukufu wote uende babati
Wenyeji wenyewe wamejazana. Sio mji rafiki kwa mgeni. Ukwieka biashara ama hata hiace/coaster wenyeji wakishajua kuwa ni ya chasaka hawapandi kabisa ama hawaji dukani kwako kununua..anasema yaani nikamnyanyue mtu asiye wa nyumbani.
Hata huko mkoani uliko chunguza Kama yupo anayeenda kununua kwa asiye wa kwao,sijui Kama litakuwa jiji kabla ya mpanda , sumbawanga,musoma ama Tabora Mana iyo miji iko afadhali kidogo Ila sio