Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Hali ni mbaya na ubaya ya Diamond alikuwa ame base sana Clouds fm now hana media ya kuitegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza [emoji817]
 
Mkuu umeandika post ya maana sana.

Diamond wetu wee huu nao ni upepo utapita tu. Tunashukuru kwa booster uliyompa kibakuli na timu yake wameweza kutufanya tusipumue. Diamond wewe utabaki kua diamond hata iweje.
 
mkuu kiba anajua sana...acheni kupingana na wakati dai ni mzuri lkn kiba ni mzuri zaid...
Uzuri wake kitu gani? Ebu tuache story za vijiweni.
Unataka sema kibakuli anaimba kuliko wasanii wote hapa bongo ama?
 
Kaka umetoa ya moyoni kama yote
Any way barikiwa sana
 
Uzuri wake kitu gani? Ebu tuache story za vijiweni.
Unataka sema kibakuli anaimba kuliko wasanii wote hapa bongo ama?
i mean wote wanajua lkn kiba ni zaid ya diamond......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…