Hili ni moja ya tatizo kubwa kwa vijana wanaojihusisha na siasa nchini

ukimuona twitter huyu ni mpuuzi alafu kanajifanya kapo vizuri kumbe zwazwa humu.
Makasiriko ya nini, mama mimi ni zwazwa ingia kwenye 18 zangu K wewe. Unaleta ujinga hapa, usijifanye unanajua sana, sitaki shobo.. Kama unasoma uzi soma jikate.
 
Hata Wewe Mbona unaonekana mweupe kichwani.Sijaona hoja ya Maana Hapo.
 
Safiiii sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…