Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo linawezekana kwenye jamii ya watu wastaarabu wanaoheshimu utu.SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
hii nimeifahamu leo aksanteSI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
England kwani ni nchi?mwenye ufahamu anisaidie?
Wenzako wakati wanasoma Civics ulikuwa unasugua tunda za ubuyumwenye ufahamu anisaidie?
Umejibu vema snSI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Maza mwenyewe hajawai isoma, walio isoma kwa sasa hawafiki elfu 1Naamini kabisa 90 % ya watanzania hawajawahi isoma katiba yetu.
UK au England?England kwani ni nchi?
Nimesoma mpaka Mwisho nikaisoma tena nikairudia tena halafu nikakurudishiaMaza mwenyewe hajawai isoma, walio isoma kwa sasa hawafiki elfu 1
Hongera mwambaNimesoma mpaka Mwisho nikaisoma tena nikairudia tena halafu nikakurudishia
Kuandikwa kama document au kutokuandikwa kama document maana yake nini? Naomba ufafanuzi zaidiSI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Halafu anaunguza wenzie😂😂Wenzako wakati wanasoma Civics ulikuwa unasugua tunda za ubuyu
BullshitMaza mwenyewe hajawai isoma, walio isoma kwa sasa hawafiki elfu 1
Mimi nilikuwa najua imeandikwa ila haiko katika single document.SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Sahihi, unwritten constitution means uncodified ipo kwenye vipande vipande tu vya sheria (statute) na maamuzi ya mahakamaMimi nilikuwa najua imeandikwa ila haiko katika single document.
Kijitabu!Naamini kabisa 90 % ya watanzania hawajawahi isoma katiba yetu.