Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
England ipo UK na makao makuu ya UK yapo London England.UK au England?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
England ipo UK na makao makuu ya UK yapo London England.UK au England?
It's a StateEngland kwani ni nchi?
Tofauti constitutional law na National constitutional rafiki anguBullshit
Watu waliosoma constitutinal law tuu wameshazidi hiyo namba.
Katiba ya Tz kaiandika Nyerere kwa maslahi ya chama chake , akalazimisha Afro Shirazi iungane naye huku aki force itumike katiba aliyoitunga yeye , DictatorSI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Katika lugha za mambo ya katiba,kama mnatumia vitabu zaidi ya kimoja kama katiba yenu basi hyo katiba inakuwa haijaandikwa,mkitumia kati a il I yo kwenye kitabu kimoja ndo tunasem imeandikwa.UINGEREZA WANA VITABU VUNGI AMBAVYO UKIVIWEKA PAMOJA NDO UNAPATA KATIBA YAO.KUNA MAGNA CARTA YA 1215AD ,KUNA PETITION OF RIGHTS YA 1629,KUNA SHERIA ZA BUNGE ,KUNA BILL OF RIGHTS NK .Tanzania katiba yetu I ko kwenye kitabu kimoja hivyo imeandikwamwenye ufahamu anisaidie?
Ni kweli haina katiba isipokua inafata sheria kadhaa ikiwemo; Magna Carta, Bill of Rights na Human Rights Act ya mwaka1998.mwenye ufahamu anisaidie?
Wakati wenzako wanasoma civics na geography wewe ulikuwa unazungusha viuno mwenge ukija na ccmmwenye ufahamu anisaidie?
Wanaosema hivyo ni waongo na wasioelewa chochote.mwenye ufahamu anisaidie?
Rudia. Sikuwahi kujua hili jambo. Na sina uhskika kama ulichosema ni kweli....Nimeshangaa sana.SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Mdau amesema EnglandUK au England?
Ni kweli haina katiba isipokua inafata sheria kadhaa ikiwemo; Magna Carta, Bill of Rights na Human Rights Act ya mwaka1998.
Hizo zinaitwa Hati tu ila sio katiba mkuuHupo sahihi. Inayo katiba ambayo ipo kwenye documents tofauti tofauti. Zote kwa pamoja ndiyo katiba ya UK.
"The UK is often said to have an 'unwritten' constitution. This is not strictly correct. It is largely written, but in different documents."
"In the UK a constitution has never been codified in this way; instead, the various statutes, conventions, judicial decisions and treaties which, taken together, govern how the UK is run are referred to collectively as the British Constitution".
Sahihi, unwritten constitution means uncodified ipo kwenye vipande vipande tu vya sheria (statute) na maamuzi ya mahakama
Sio kwamba hakuna maandishi kabisa.
Mkuu fungua KVant unywe ila uwe na zaidi ya miaka 18. NENO HAPA NI CODE (CODED/CODIFIED au UNCODED/UNCODIFIED)Kwanza kusema unwritted ni makosa. Uncodified ni sahihi, na kuwa uncodified haimanishi haijaandikwa bali documents mbalimbali hazijawekwa kwenye document moja.
Wanaosema haijaandikwa ni kwa sababubya kukosa maeneno sahihi kwenye kiswahili. Lakini kinachomaanishwa ni kuwa hakukuwahi kuwepo mchakato mmoja wa kuandaa katiba. Bali documents mbalimbali zilizoidhinishwa na kukubaliwa zimefanywa kuwa sehemu ya katiba.
civics ulipata ya nape FMkuu mbona kuna post za mipasho nyingi humu; kama ni lazima upost si ukapost huko kwa wenye hulka zinazofanana na wewe.