Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
It's ridiculously!Kuandikwa kama document au kutokuandikwa kama document maana yake nini? Naomba ufafanuzi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's ridiculously!Kuandikwa kama document au kutokuandikwa kama document maana yake nini? Naomba ufafanuzi zaidi
Nani kasema Haina Katiba?Ni kweli haina katiba isipokua inafata sheria kadhaa ikiwemo; Magna Carta, Bill of Rights na Human Rights Act ya mwaka1998.
Mkuu katiba ni zaidi ya ufahamu wa wananchi na pia katiba inabeba mustakabali wa taifa kwa vizazi vijavyo ambavyo hata havipo sasa. Mfano issues za rasilimali za nchi na mazingira.Ndio maana hua nacheka nikiona watu wanavyopiga makelele kuhusu katiba mpya wakati hata hii iliyopo hawawezi kukueleza inavyo waathiri.
Kusema kuwa katiba ya sasa haitekelezwi sio conclusive evidence kuwa hatuhitaji mabadiliko ya katiba, inawezekana madhaifu ya katiba iliyopo ndiyo yanafanya katiba isitekelezwe na hakuna atakaye wajibishwa.Ok, Kwa uchache, unaweza kuelezea kuelezea utakachokipata Kwa katiba mpya na unachokikosa Kwa katiba iliyopo?
Kwa ufupi katiba iliyopo inatekelezwa ipasavyo?
Wasungu ni wastaarabu sana hawahitaji kuongozwa na vitavlbu wao wenyewe wana uwezo wa kujigovern. Hakuna katiba hukomwenye ufahamu anisaidie?
Na kuziweka shavuni aone joto lakeWenzako wakati wanasoma Civics ulikuwa unasugua tunda za ubuyu
Mkuu katiba ni zaidi ya ufahamu wa wananchi na pia katiba inabeba mustakabali wa taifa kwa vizazi vijavyo ambavyo hata havipo sasa. Mfano issues za rasilimali za nchi na mazingira.
Ndio maana mwanzo wa mchakato wa katiba wanahusishwa wataalam wa sheria ili kusaidia kuweka tamaduni, mila, taratibu na miiko ya jamii husika katika muktadha wa kisheria.
Kusema kuwa katiba ya sasa haitekelezwi sio conclusive evidence kuwa hatuhitaji mabadiliko ya katiba, inawezekana madhaifu ya katiba iliyopo ndiyo yanafanya katiba isitekelezwe na hakuna atakaye wajibishwa.
Utii, usimamizi, ulinzi na utekelezaji wa katiba unatafsiriwa na katiba husika.
Kwa kutambua kuwa masuala ya kisheria ni taaluma na si kila mtu anayamudu ndiyo maana hata mahakamani kuna uwakilishi unatumika kupitia wanasheria.
Haya ndio maelezo sahihi kwa lugha nyepesi inayoeleweka hata na mkulima wa kijijini atayaelewa.Ni kweli haina katiba isipokua inafata sheria kadhaa ikiwemo; Magna Carta, Bill of Rights na Human Rights Act ya mwaka1998.
Waeleweshe haoHaya ndio maelezo sahihi kwa lugha nyepesi inayoeleweka hata na mkulima wa kijijini atayaelewa.
Maelezo yaliyotolewa mmoja wetu kuwa eti wanayo katiba lakini haikuandikwa si kweli. KATIBA HAWANA.
Hakuna.Sasa kama Rais (na viongozi wote walioapa kuilinda,kutenda kwa mujibu wa katiba) amesema katiba ni kijitabu tuu,kuna umuhimu gani wa hao asilimia 90 ya Watanzania kuisoma "hiko kijitabu"!!??
Monarchmwenye ufahamu anisaidie?
Kwahiyo ni Uingereza tu dunia nzima ndio wastaarabu? Maana nchi zengine zote duniani Zina katiba zilizoandikwa. Na kama utasema ndio, basi, juhudi kubwa ifanyike kwenye psychic yako kuondoa hiyo British colonial mentality.Hilo linawezekana kwenye jamii ya watu wastaarabu wanaoheshimu utu.