The first difference between these two constitutional types is their source. A codified constitution is contained within one single document, whereas the source of a uncodified constitution is spread across statute, common law and constitutional convention.Kwanza kusema unwritted ni makosa. Uncodified ni sahihi, na kuwa uncodified haimanishi haijaandikwa bali documents mbalimbali hazijawekwa kwenye document moja.
Wanaosema haijaandikwa ni kwa sababubya kukosa maeneno sahihi kwenye kiswahili. Lakini kinachomaanishwa ni kuwa hakukuwahi kuwepo mchakato mmoja wa kuandaa katiba. Bali documents mbalimbali zilizoidhinishwa na kukubaliwa zimefanywa kuwa sehemu ya katiba.
Simply their constitution is not codified in the same documentKatika lugha za mambo ya katiba,kama mnatumia vitabu zaidi ya kimoja kama katiba yenu basi hyo katiba inakuwa haijaandikwa,mkitumia kati a il I yo kwenye kitabu kimoja ndo tunasem imeandikwa.UINGEREZA WANA VITABU VUNGI AMBAVYO UKIVIWEKA PAMOJA NDO UNAPATA KATIBA YAO.KUNA MAGNA CARTA YA 1215AD ,KUNA PETITION OF RIGHTS YA 1629,KUNA SHERIA ZA BUNGE ,KUNA BILL OF RIGHTS NK .Tanzania katiba yetu I ko kwenye kitabu kimoja hivyo imeandikwa
Very good!SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
The first difference between these two constitutional types is their source. A codified constitution is contained within one single document, whereas the source of a uncodified constitution is spread across statute, common law and constitutional convention.Kuandikwa kama document au kutokuandikwa kama document maana yake nini? Naomba ufafanuzi zaidi
The first difference between these two constitutional types is their source. A codified constitution is contained within one single document, whereas the source of a uncodified constitution is spread across statute, common law and constitutional convention.Sahihi, unwritten constitution means uncodified ipo kwenye vipande vipande tu vya sheria (statute) na maamuzi ya mahakama
Sio kwamba hakuna maandishi kabisa.
Katiba ipo Iła haipo kwenye document moja.mwenye ufahamu anisaidie?
Uko sahihi.Hilo linawezekana kwenye jamii ya watu wastaarabu wanaoheshimu utu.
Naamini kabisa 90 % ya watanzania hawajawahi isoma katiba yetu.
Sawa kabisa na over !,ukiona taifa Lina kabila Moja na Mfalme mmoja au Malkia mmoja katiba iliyoandikwa si muhimu,Angalia hata taratibu na desturi za kabila Moja Moja hapa Kwetuhazijaandikwa lakini hufuatwa Barabara na za ukoo mmoja mmoja hufuatwa kwa miaka mingi na bila kuandikwa. England ni taifa la kifalme inawezekana katiba haijaandikwa ,,wanaiheshimu na kuidumisha na wote.SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.
Sasa kama Rais (na viongozi wote walioapa kuilinda,kutenda kwa mujibu wa katiba) amesema katiba ni kijitabu tuu,kuna umuhimu gani wa hao asilimia 90 ya Watanzania kuisoma "hiko kijitabu"!!??Naamini kabisa 90 % ya watanzania hawajawahi isoma katiba yetu.
Nani anayepiga kelele kuhusu katiba mpya hawezi kuelezea jinsi hii iliyopo inavyomuathiri!!??Ndio maana hua nacheka nikiona watu wanavyopiga makelele kuhusu katiba mpya wakati hata hii iliyopo hawawezi kukueleza inavyo waathiri.
Waingereza wenyewe wanatambua chimbuko la hilo neno ‘unwritten constitution’ ni kupitia academic lectures (vitabu) vya msomi wa maswala ya katiba na siasa ‘Kenneth Wheare’ akijaribu kuelezea umuhimu wa kuwa na written constitution.Kama mtu anaufahamu wa kiingereza na anataka kukukueleza kwa kiswahili badala ya kusema haikuandikwa walitakiwa kusema haikukusanywa pamoja kwenye nyaraka moja
Mkuu tabia, desturi, mila na tamaduni hazimo na siyo sehemu ya sheria ikiwemo sheria mama katibaSawa kabisa na over !,ukiona taifa Lina kabila Moja na Mfalme mmoja au Malkia mmoja katiba iliyoandikwa si muhimu,Angalia hata taratibu na desturi za kabila Moja Moja hapa Kwetuhazijaandikwa lakini hufuatwa Barabara na za ukoo mmoja mmoja hufuatwa kwa miaka mingi na bila kuandikwa. England ni taifa la kifalme inawezekana katiba haijaandikwa ,,wanaiheshimu na kuidumisha na wote.
Yes England ni Nchi. Nchi tatu Zikiwemo Scotland na Wales unaweza ongeza na Northern Ireland Ndiyo zinaunda United KingdomEngland kwani ni nchi?
Basi sawaYes England ni Nchi. Nchi tatu Zikiwemo Scotland na Wales unaweza ongeza na Northern Ireland Ndiyo zinaunda United Kingdom
Nani anayepiga kelele kuhusu katiba mpya hawezi kuelezea jinsi hii iliyopo inavyomuathiri!!??
Nimekuuliza kuwa ni nani anayetaka katiba mpya ambaye hajui hii iliyopo na athari zake!!Ok, Kwa uchache, unaweza kuelezea kuelezea utakachokipata Kwa katiba mpya na unachokikosa Kwa katiba iliyopo?
Kwa ufupi katiba iliyopo inatekelezwa ipasavyo?
Wanaosema hivyo ni waongo na wasioelewa chochote.
UK ina katiba ila katiba yake siyo document moja kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa.
Mathalani katiba yetu ina vitu vyote kwenye document moja, wakati kwa UK, executive ina document yake, Parliament ina document inayojitegemea. Judiciary ina document inayojitegemea.
"The UK is often said to have an 'unwritten' constitution. This is not strictly correct. It is largely written, but in different documents."
Mm haijandikwa!? Sasa wanafanyaje rejea?!SI KWELI.
Katiba wanayo, isipokuwa Katiba yao haijaandikwa (Unwritten Constitution),kama 'document' nayo ni aina ya Katiba; sisi ya kwetu Tanzania imeandikwa (Written Constitution). Katiba isiyoaandikwa ni kama vile mila, desturi na mambo yote yanayofanywa na kufuatwa na jamii fulani kwa kurithishana kizazi hata kizazi na hayapo katika maandishi. Ndivyo ilivyo hata katika mila za makabila yetu.