Hili ni shambulio la moyo, ndoa imekuwa chungu

Hili ni shambulio la moyo, ndoa imekuwa chungu

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Habari wakuu.

Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.

HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO

Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.

Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu

Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.

Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.

Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.

Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyaje
FB_IMG_1722354286896.jpg
 
Habari wakuu.

Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.

HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO

Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.

Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu

Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.

Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.

Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.

Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Sasa ndugu yangu hapo kuna kingine tena unasubiri? kama ushahidi tayari unao wa kutosha kabisa kwahiyo we muache aende kwa wanaomfikisha ila kama unampenda vumilia maana MAPENZI hayashauriki.
 
Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Naona anajiuliza na kujijibu mwenyewe(kama ni wewe mwenyewe sijui),so far jibu tayari mnalo huyo ni malaya kama malaya wengine hana tofauti na wale wa Kimboka kasoro malaya huyo ameweza kuvuka stage moja kwenda hatua ya ndoa kwa sababu alikutana na kijana dhaifu aliyebeba akili mkononi badala ya kichwani!
 
Naona anajiuliza na kujijibu mwenyewe(kama ni wewe mwenyewe sijui),so far jibu tayari mnalo huyo ni malaya kama malaya wengine hana tofauti na wale wa Kimboka kasoro malaya huyo ameweza kuvuka stage moja kwenda hatua ya ndoa kwa sababu alikutana na kijana dhaifu aliyebeba akili mkononi badala ya kichwani!
Hii fimbo umemchapa mgonjwa wetu ataamka kitandani kweli?!
 
Ushauri mkavu,mchane live kuwa ushatambua anachokifanya afu mwache afanye machaguo ili akili ikamkae sawa,ajue muda wote unafanya maamuzi mengine
Sikia masta usually malaya haitaji onyo hapo huyo dogo kama ameshashtukia chezo hatua moja tu ni kumfurusha kutoka ktk maisha yake suala la mimba litajulikana akishazaa!

Mwanaume ana mambo mengi sana muhimu ya kufanya regardless kulumbana na hizi €hupi na muda wake ni mchache sana kuwa na kunguni kama hizi kunampunguzia umri wa kuyatekeleza hayo jambo linalotakiwa kuepukwa mapema!
 
Back
Top Bottom