Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliosoma urusi tunaita sqmtr0.0009Kataa ndao wanazidi kujipakulia minyama.
Mkabidhi maisha yako kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet.Habari wakuu.
Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.
HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO
Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.
Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu
Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.
Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.
Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.
Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.
Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?
Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
gen z wanazingua sanaNiende jukwaa la Sport mimi nisije nikakupiga kofi
mzee wa ruksaHabari wakuu.
Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.
HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO
Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.
Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu
Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.
Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.
Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.
Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.
Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?
Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Kwa akili hizo sishangai wakatoboa 100 Mungu awape umri 😄Aisee!Ni imani yangu kwamba duniani hakuna swali la kijinga.Ila,Mola amtie nguvu mwenye mke hadi wazeeke pamoja ashuhudie viroja zaidi.
Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.
Mmh isiwe ni mimi nae anaaga ivo ivo ila si kila alhamis, hana mimba yeye,
Wanaume wanazid kupungua. Yesu tusaidieHabari wakuu.
Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.
HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO
Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.
Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu
Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.
Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.
Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.
Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.
Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?
Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Kwa wengine si rahisi kujua kutokana na maumbile kuwa makubwa inakuwa ngumu kuona hata awe anapiga hiyo dog styleWanaume mke akiingiliwa nyuma utajua tu,unless hutumii dog style
Tuache ujinga,tena ukiona anakataa dog style ebu jiulize mara mbili
Coz ni style ambayo hata wao wanaipenda sana ingawa hawawezi kukwambia