Hili ni shambulio la moyo, ndoa imekuwa chungu

Hili ni shambulio la moyo, ndoa imekuwa chungu

wakati unaoa ulitualikaaa iweje yamekukuta unataka tufe pamoja

Hapanaaaaa hapaanaaa yakohioo
 
Hahahaha pointi tatu kibindoni, na bado huu ni mwanzo tu, mpaka kufika desemba utasema tu !

1000011282.jpg
 
Habari wakuu.

Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.

HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO

Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.

Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu

Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.

Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.

Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.

Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Mkabidhi maisha yako kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Allah Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ampe qauli thabeet.

Nakuhakikishia kwa kufanya hivyo utapata amani ya kudumu
 
mkianza kukagua wake zenu huko nyu....mnaweza zalisha yatimaa wakutoshaaa hapaa waliona babazao hai achenituyaishee
 
Habari wakuu.

Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.

HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO

Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.

Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu

Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.

Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.

Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.

Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
mzee wa ruksa
 
Maisha ya siku hz ndiyo naona umuhimu wa sharia za kiislamu, ujinga na uhuni umevuka mipaka, zingekuwapo sharia zinatekelezwa uhuni wa aina hii usingefanyika kwa kiwango hiki.
 
Mimba zina mambo ya ajabu sana,mimba yake imependa kupiga story na washkaji wa kiume,atazaa mtoto wa kike
 
Mmh isiwe ni mimi nae anaaga ivo ivo ila si kila alhamis, hana mimba yeye,
 
Kama anakuaga siku nyingine badala ya alhamisi usiwe na wasiwasi, mpaka iwe alhamisi na awe na mimba ndio unaweza anza kumtilia mashaka kama ni malaya
Mmh isiwe ni mimi nae anaaga ivo ivo ila si kila alhamis, hana mimba yeye,
 
Piga chini na hiyo mimba inaweza isiwe yako. Huyo ni Malaya siyo mke,pole kijana wanawake ni tatizo.
 
Habari wakuu.

Hiki kisa nimekikuta huko katika pita pita zangu mitandaoni.

HILI LINAITWA SHAMBULIO LA MOYO

Huyu ni mke wangu kabisa, nimefunga naye ndoa mwaka huu mwezi wa pili ila kufika mwezi wa 5 MUNGU alijaalia kupata ujauzito.

Mwanzoni huyu mwanamke ilikuwa Kila alhamis lazima aombe ruhusa ya kwenda kusalimia Kwa ndugu yoyote, na Mimi sikuwa na hiyana nilikuwa nampa ruhusa tu make ana ndugu wengi hapa mjini kwasabb kazaliwa kakulia humuhumu

Mwezi ulio pita Kuna rafiki yake aliniambia niwe makini na mke wangu ila hakunambia niwe naye makini kivipi, nilijaribu kumbana mwisho akaniambia tu nianze kumchunguza safari zake.

Tarehe 30 ya mwezi ulio pita aliomba ruhusa anaenda Kwa bibi yake ikabidi nimruhusu aende, baada ya kumchunguza safari hiyo nilipata majibu ya kujitosheleza kuwa alienda kushinda Kwa jamaa flani kule mbezi na nyumba mpaka chumba nikakiona, nilimweleza kaka yangu ikabidi anitulize kiume.

Jana tena akaniomba ruhusu anaenda Kwa dada yake, kama kawaida nikampa ruhusa ikabidi nimwite kaka yangu safari hii timfuatilie wote, huwezi amini Jana kaenda Kwa mwanaume mwingine tofauti na yule, na hapo ana ujauzito , Mimi mpaka nimechoka, hata kaka yangu mwenyewe haelewi.

Nimekwama kimawazo sijui nifanye nini kwasabb njia pekee niliyonayo ni kumuacha ila nawaza juu ya huyo mtoto wa tumboni.

Na nikisema niendelee kuwa nae tu kwa ajili ya huyu mtoto je kama mimba siyo yangu?

Akili imesimama sijui nifanyajeView attachment 3056993
Wanaume wanazid kupungua. Yesu tusaidie
 
Wanaume mke akiingiliwa nyuma utajua tu,unless hutumii dog style

Tuache ujinga,tena ukiona anakataa dog style ebu jiulize mara mbili

Coz ni style ambayo hata wao wanaipenda sana ingawa hawawezi kukwambia
Kwa wengine si rahisi kujua kutokana na maumbile kuwa makubwa inakuwa ngumu kuona hata awe anapiga hiyo dog style
 
Back
Top Bottom