Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
AU TUNGULE? KWA KIUNGUJA ZINAITWA TUNGUJA KWA KI BARA ZINAITWAJE YAKHE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
AU TUNGULE? KWA KIUNGUJA ZINAITWA TUNGUJA PORI KWA KI BARA ZINAITWAJE YAKHE?

nDulele...au nyanya chungu!
Zina jina lake la asili ila kwa sisi tuliokulia mjini tumekuwa tunaziita NDULELE,
Matumizi yake na ikiwemo mizizi yake ambapo hutumika kwa mwanamke ambaye anaenda hedhi iliyopitiliza. Anapaswa kuchemsha mizizi yake na kunywa kutwa mara mbili kwa kipimo cha bilauri [dawa za asili huwa hazina masharti ya vipimo].
Tunda zake zinatumika sana kutibu funza wanaoingia vidoleni, unachopaswa kufanya ni kuitoboa ndulele na kuvisha kwenye kidole chenye mdudu kwa muda unaozidi dakika 10. Mdudu atakufa na kukauka kabisa.
Naamini hii ni tofauti sana na nyanya chungu. Hii ni chachu na ina kemikali nyingi sana.
Mimi nadhani kuna tofauti kati ya ndulele na nyanya chungu (ngogwe). Ndulele haziliwi na ngogwe zinaliwa.
Zina jina lake la asili ila kwa sisi tuliokulia mjini tumekuwa tunaziita NDULELE,
Matumizi yake na ikiwemo mizizi yake ambapo hutumika kwa mwanamke ambaye anaenda hedhi iliyopitiliza. Anapaswa kuchemsha mizizi yake na kunywa kutwa mara mbili kwa kipimo cha bilauri [dawa za asili huwa hazina masharti ya vipimo].
Tunda zake zinatumika sana kutibu funza wanaoingia vidoleni, unachopaswa kufanya ni kuitoboa ndulele na kuvisha kwenye kidole chenye mdudu kwa muda unaozidi dakika 10. Mdudu atakufa na kukauka kabisa.
Naamini hii ni tofauti sana na nyanya chungu. Hii ni chachu na ina kemikali nyingi sana.
Mimi nadhani kuna tofauti kati ya ndulele na nyanya chungu (ngogwe). Ndulele haziliwi na ngogwe zinaliwa.
Zina jina lake la asili ila kwa sisi tuliokulia mjini tumekuwa tunaziita NDULELE,
Matumizi yake na ikiwemo mizizi yake ambapo hutumika kwa mwanamke ambaye anaenda hedhi iliyopitiliza. Anapaswa kuchemsha mizizi yake na kunywa kutwa mara mbili kwa kipimo cha bilauri [dawa za asili huwa hazina masharti ya vipimo].
Tunda zake zinatumika sana kutibu funza wanaoingia vidoleni, unachopaswa kufanya ni kuitoboa ndulele na kuvisha kwenye kidole chenye mdudu kwa muda unaozidi dakika 10. Mdudu atakufa na kukauka kabisa.
Naamini hii ni tofauti sana na nyanya chungu. Hii ni chachu na ina kemikali nyingi sana.