Ah Ah! Tunguja ni tunguja na nyanya chungu ni nyanya chungu> tunguja hailiwi na nyanya chungu ni mboga!hzo ni nyanyachungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah Ah! Tunguja ni tunguja na nyanya chungu ni nyanya chungu> tunguja hailiwi na nyanya chungu ni mboga!hzo ni nyanyachungu!
Nimestuka kidogo...
Kuna rafiki yangu [Mtanzania] nimemuonesha hii picha akanithibitishia kwamba hizi ni ndulele na zinaliwa kwa baadhi ya watu. Nahisi amezifananisha na ngogwe [nyanya-chungu pori], Lakini akaniambia zinaliwa, ngoja nitajaribu kidogo kuonja kama zinafaa kisha ntakuja kuwaambia hapa siku moja.
Alinielekeza kwamba zikichanganywa na bamia zinakuwa makini kweli. Mh, maisha ni mwendo mrefu kweli.
Rafiki mwingine [Visiwani] anasema kuwa hii inatumika kutoa mimba. Sasa hapo sijafahamu. ila naamini kuwa wajuvi humu wanaweza kututhibitishia hayo kama kweli au la
Umeamza umbea. Unamfanyia udaku hata dada yako?
Hahahahaha acha hizo bwanaMhmmm!!! Leo unanikana mpendwa jamani wakati tulikuwa tunajificha wote kwenye lile jumba bovu halafu wewe ulikuwa mama na mimi ndo baba. Hata Anorld mpiga chabo anakumbuka.
Hahahahaha acha hizo bwana
NdioooooooooooooooooKwani nakusingizia?
Ndiooooooooooooooooo
kweli wazigua kiboko...Kwetu zinaitwa TURA, haziliwi bali mizizi yake ni tiba ya matatizo mengi, na zenyewe pia hutumika kupekecha zongo, wakina mama wafanyabiashara ndogondogo utakuta pia huziweka kwenye biashara zao kujikinga na ulozi, kwa wale wanaoamini.
Loools....sio kirahisi namna hiyoSawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! Thichedhi na wewe tena! Kwanza tufute urafiki.
Loools....sio kirahisi namna hiyo
dah huu ugonjwa wa kuvimba mashavu umenikumbusha mbali sanaKaka mkubwa hiyo ya funza umenikumbusha mbali sana, wakati huo twasoma ukiingiwa na funza lazima ukamatwe na kutafutiwa hizo ndulele.
Halafu pia kulikuwa na ugonjwa fulani sisi tulikuwa twauita "matuse"...mashavu sehemu za jaws huvimba na kuuma sana. Basi hizo ndulele zilikuwa zachomwa kama mshikaki halafu unakandwa nazo.
Baada ya siku kadhaa uvimbe hupotea na maisha kusonga.