Hili ni tunda au mboga au kitu gani jamani inaitwaje kwa kiswahili?

Hili ni tunda au mboga au kitu gani jamani inaitwaje kwa kiswahili?

Mkuu pia mizizi yake ni dawa ya meno yaliyooza na kutoa harufu.

unachemsha na kusukutua supu yake, pia waweza kuitafuna.
Nasikia pia ukiipasua na kupaka kwenye kichwa cha dushelele nakisha kwenda kupiga jaramba ktk utupu wa mwanamke, hatakaa aku sahau. Nasikia inaongeza nyegu uspime.
 
Ndo nashangaa hapa dr. MziziMkavu anataka kuwaingiza watu chaka!

Ndulele =/= nyanya chungu (ngogwe) na hizo kwenye picha yake ni NDULELE.

HAZILIWI.
Mkuu Mentor Ndio maana nikauliza jina hizo zinaitwaje? sikusema kama zinaliwa nimeuliza zinaitwaje hizo? Kwahiyo sio nyanya chungu? ni Ndulele ? au nyanya chungu Ngogwe?
 
Last edited by a moderator:
NA HIZI SIO NYANYA CHUNGU JAMANI?

Thai-Yellow-egg.jpg


2520P1030650.JPG




3729434322_979282693c.jpg

eggplant2.jpg
 
Huo ugonjwa unaitwa mumps. Ni viral, kwa hiyo unaisha wenyewe. Kukandwa kulisaidia kushusha homa tu nadhani
Kaka mkubwa hiyo ya funza umenikumbusha mbali sana, wakati huo twasoma ukiingiwa na funza lazima ukamatwe na kutafutiwa hizo ndulele.

Halafu pia kulikuwa na ugonjwa fulani sisi tulikuwa twauita "matuse"...mashavu sehemu za jaws huvimba na kuuma sana. Basi hizo ndulele zilikuwa zachomwa kama mshikaki halafu unakandwa nazo.
Baada ya siku kadhaa uvimbe hupotea na maisha kusonga.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Best ndio huo huo na nimetafuta neno lenye tafsiri fasaha kwa Kiswahili, huitwa "machubwichubwi"

Huo ugonjwa unaitwa mumps. Ni viral, kwa hiyo unaisha wenyewe. Kukandwa kulisaidia kushusha homa tu nadhani
 


Leo wapendwa nataka niwafundishe kuhusu nyanya chungu, ndio enhe hizohizo naamini wengi kama sio wote mnazijuwa zipo za iana mbili zile chungu kabisa na za baridi (ambazo sio chungu) najuwa wengi sana hawapendi kula hizi nyanya chungu kwasababu hawazijui faida zake leo nitakwambia nisikilize kwa makini mwanamke na wewe mwanaume ukalibebe umpelekee mkeo anufaike nalo.



Nyanya chungu katika mwili wa mwanamke zinasaidia katika kuongeza maji ya ukeni enhe ndio utakuta mwanamke analalamika mimi mkavu mume wangu anachukuwa muda sana kuniandaa mwengine anasema nachubuka sina majimaji ya ukeni sasa bibie dawa ndio hiyo usikose nyanya chungu nyumbani kwako kama huziwezi chungu waachie wahaya wewe nunua zile za baridi hata kama huzipendi bibie ndio uzile mpaka uzipende, sio mbaya ukiungia kama mbili kwa kuanzia baadaye utaweza kula zidi..mimi nyumbani kwangu mwiko nyanya chungu kukosekana kwenye jokofu..haihusu bibi


Unaweza kuziungia kwenye vitu tofauti na zikanoga ngoja nikwambie jinsi mimi ninavyozitumia natia kwenye mlenda, kwenye dagaa, kwenye mboga ya nyama, kuku, natia mpaka kwenye pilau yani kila ninachopika nyumbani kwangu lazima ziwemo wanawake wote nyumbani kwangu nimewazoesha kuzila ila wanaume hawali kwanza kwasababu hawazipendi na pili kwavile haziwahusu labda kurekebisha afya tu siwalazimishi.


Umenisoma chukuwa hilo kama ulikuwa haujui..Cc.@georgeallen Mkuu Boflo

Very true! Niliisoma kwenye course ya Economic Botany. Aina hizi za mboga zinapaswa zitumike katika familia zetu ili kulinda ''Muungano'' wa baba, mama & watoto.(i.e usije ukatokea utengano usio na lazima kwa wanandoa)
 
Tunaita sodum apple au kwa jina la kisayansi ni solenum incanum ni tunda lisilo liwa na wanyama wengi ingawa kuna wengine wanakula kama vile sungura na Tandara.
 
Very true! Niliisoma kwenye course ya Economic Botany. Aina hizi za mboga zinapaswa zitumike katika familia zetu ili kulinda ''Muungano'' wa baba, mama & watoto.(i.e usije ukatokea utengano usio na lazima kwa wanandoa)
Economic Botany........ wewe mkaali, hebu nipe contents, botany hadi binadamu na unyumba?
 
Mkuu Mentor Ndio maana nikauliza jina hizo zinaitwaje? sikusema kama zinaliwa nimeuliza zinaitwaje hizo? Kwahiyo sio nyanya chungu? ni Ndulele ? au nyanya chungu Ngogwe?

Zinaitwa Ndulele/ Nyanyapori. Scie/Name:Solanum incunum.
Uses: cure Stomach pain, spleen problems( esp. for children)
 
Economic Botany........ wewe mkaali, hebu nipe contents, botany hadi binadamu na unyumba?

Teh..teh..teh.. Si unajua tena nilikuwa nasherehesha hoja. maana nowdays kesi nyingi za ndoa zinasababishwa na vitu vidogo kama hivi ambavyo vingeweza kuepukika kwa kula tunda tu!!
 
Back
Top Bottom