Hili ni tunda au mboga au kitu gani jamani inaitwaje kwa kiswahili?


Oh maama... RIP Paw in advance.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Paw
Mzizi mkavu ni kweli tupu..hebu jaribu uje unipe matokeo!
 
MziziMkavu unachanganya picha ya ndulele na nyanya chungu,
lakini unachotaka kusema umeeleweka,
 
Last edited by a moderator:
Mhmmm!!! Leo unanikana mpendwa jamani wakati tulikuwa tunajificha wote kwenye lile jumba bovu halafu wewe ulikuwa mama na mimi ndo baba. Hata Anorld mpiga chabo anakumbuka.
Hahahahaha acha hizo bwana
 
Kwetu zinaitwa TURA, haziliwi bali mizizi yake ni tiba ya matatizo mengi, na zenyewe pia hutumika kupekecha zongo, wakina mama wafanyabiashara ndogondogo utakuta pia huziweka kwenye biashara zao kujikinga na ulozi, kwa wale wanaoamini.
kweli wazigua kiboko...
 
Maisha bila utafiti ni sawa na kufumba macho wakati unakatiza busy road ya magari.
Nilikuwa sokoni this weekend kwa shopping. Nilifanya udadisi kutaka kujua kama ndulele ni kweli zaliwa. Nilichoambulia kwa watu wawili watatu ni kwamba YES zinaliwa. Ila ni zile ambazo ni cnaha yaani ambazo hazijakomaa tena zikiwa bado ndogo. Zikishakomaa hazifai. Mapishi yake hayatofautiani na ngogwe

Naamini kuwa zinaweza kuliwa, ntaendelea kutafiti hadi nijithibitishie kwa vitendo
 
sijajua unazungumzia tunda gani,labda ungeweka picha yake,mimi nayajua matunda yote kwa kiswahili.au unazungumzia ndula?
Nalog off
 
dah huu ugonjwa wa kuvimba mashavu umenikumbusha mbali sana

huu ugonjwa ulipokuwa unatukamata tulikuwa tunapaka mashavuni ile rangi ya blue tuliyokuwa tunaweka kwenye mashati ya shule

dah zama hizo miaka ya 2000 mwanzoni huu ugonjwa siku hizi haupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…