N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa denge/kiduku/panki kama wenyewe tusemavyo.
Hii ni ishara kwamba wanaume wameacha kutoa fedha za kusukia.
I'm off
.
Hii ni ishara kwamba wanaume wameacha kutoa fedha za kusukia.
I'm off
.