Hili ongezeko la wanawake kunyoa panki/denge/kiduku ni kwamba ma-sponsor wamegoma kulipia za kusuka?

Hili ongezeko la wanawake kunyoa panki/denge/kiduku ni kwamba ma-sponsor wamegoma kulipia za kusuka?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa denge/kiduku/panki kama wenyewe tusemavyo.

Hii ni ishara kwamba wanaume wameacha kutoa fedha za kusukia.

I'm off

.
IMG_20181020_202309.jpg
 
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa denge/kiduku/panki kama wenyewe tusemavyo.

Hii ni ishara kwamba wanaume wameacha kutoa fedha za kusukia.

I'm off
IMG_20181020_202309.jpg
 
Maana ukija hapa Mwenge ninaposhinda akina dada wanaokuja kununua nguo/viwalo ama unaweza sema, yaani wameonekana kwa idadi ya kutosha kabisa wakiwa wamekata nywele kwa ule mtindo pendwa wa denge/kiduku/panki kama wenyewe tusemavyo.

Hii ni ishara kwamba wanaume wameacha kutoa fedha za kusukia.

I'm offView attachment 1100566
Mmmh akili za saa ngapi hizi?
 
Kabla hujasifia hiyo staili ya kunyoa na kueka kamstari hivo waulize wamarekani maana yake nini.

Mwanamke kule akinyoa hivo kule ni utambulisho kwamba ye ni mdau wa mapenzi ya jinsia moja(kusagana)
Na kuona anamaanisha hilo kamwe hutomwona akisuka wala kubandika wigi
 
Kabla hujasifia hiyo staili ya kunyoa na kueka kamstari hivo waulize wamarekani maana yake nini.

Mwanamke kule akinyoa hivo kule ni utambulisho kwamba ye ni mdau wa mapenzi ya jinsia moja(kusagana)
Na kuona anamaanisha hilo kamwe hutomwona akisuka wala kubandika wigi
Kule Japan Kumamoto jina la mtu kwetu sie itakuwaje? Nao wasitumie hilo jina kwasababu ina maana tofauti na Tanzania.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kabla hujasifia hiyo staili ya kunyoa na kueka kamstari hivo waulize wamarekani maana yake nini.

Mwanamke kule akinyoa hivo kule ni utambulisho kwamba ye ni mdau wa mapenzi ya jinsia moja(kusagana)
Na kuona anamaanisha hilo kamwe hutomwona akisuka wala kubandika wigi
Naconnect dots..

Hizi comment mbili zinanipa picha fulani ..

Asanteni
Hapana

Ni kwasababu ya Wema Sepetu...kuna wadada role model wao huyo so wanajitahidi kuwa kama yeye katika fashion

Halafu inatakiwa ifike muda kichwa kipumzike
 
Napenda mwanamke akinyoe ivi,, kwany game akupangii mara usinishike kichwani unaaribu nywele.., afu ukimshika kichwa u feel like u hold a real living human being.., sio na mawigi unafeel kama umeshika kichwa cha maiti ya mbuzi na ile haruf ya wigi.
 
Back
Top Bottom