Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Marketing inafanyika sana. Ndio maana utalii upo vizuri. Marketing hata kwa kutumia Websites na aina nyingine inatosha.
Na hiyo Royal tour pia ni aina ya marketing. Marketing inatosha ukishafikia capacity. Kama bado watalii hawajafikia capacity, marketing za aina zote ziendelee.