Choosen Branch
Member
- Sep 4, 2024
- 51
- 34
- Thread starter
- #41
😁, hii comment ya kufungia uzi!Achana na mapenzi
Soma uzi vizuri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁, hii comment ya kufungia uzi!Achana na mapenzi
Ungekuwa na nia njema usingeleta huu uzi hapa😊, kwani mimi nilikuwa na nia ya kumuharibu?
Hoja kubwa ni ile monitoring imekuwa kubwa kupitiliza!Hapana, kwani huyo mama anashinda na mwanae muda wote? huyo binti bado yuko chini yake hana maamuzi ya kujiamulia
Soma huu uzi vizuri kisha u-comment, jua nilihitaji nini kutoka kwa hadhira!Ungekuwa na nia njema usingeleta huu uzi hapa
Mama wala hana shida, ila mwenye shida ni ww ambae ukiamka asubuhi, cha kwanza ni kuingiza mkono wako kwenye boksa badala ya kichwani, kitu ambacho imekupelekea uamini kuwa mtoto wa kike ili aolewe lazima atongozwe, kumbe wala haiko hvo.Habari za muda huu wanajukwaa?
Ipo hivi niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mshichana mmoja anayetokea ukanda wa kaskazini, msichana huyo pia alikuwa akisoma chuo kimojawapo huko Arusha.
Sasa kilichokuwa kikinishangaza licha ya tabia yake kuwa njema na mcha Mungu mzuri lakini bado wazazi wake hasa mama yake ameendelea kumlea kama mtoto mdogo yani bado anamfuatilia sanaa kana kwamba ni binti bado hajavunja ungo.
Jambo hili lilinifanya kujiuliza maswali mengi kwa mfano, je huyu binti anayetarajiwa kuwa mke wa mtu siku chache za usoni anafuatiliwa hivi na mzazi wake ina leta picha gani kwenye jamii?
Jambo jingine mama yake ni mkali sanaa kiasi kwamba akiona tuu kijana yeyote anajisogeza kuongea na mwanaye anamkaripia hadharani sasa najiuliza huyo mama hataki mwanae atongozwe ataolewa vipi? Hata mwanaye anamuogopa sanaa.. Mlio na watoto wa kike hebu mje mtoe uzoefu wenu.
Kila mtu anakushangaa ulivyo baradhuli, mtu anamtunza mwanae kwa mbinu zote wewe uko hapa kulalamika una akili kweli wewe, una nia njema na binti ungefika kwa wazazi wake kuomba hiari ya kukupa binti yao sio kulialia maza apunguze kumchunga ili wewe hayawani ufanye ufedhuli wako,Soma huu uzi vizuri kisha u-comment, jua nilihitaji nini kutoka kwa hadhira!
Tiririka sasa mkuu!!Mama wala hana shida, ila mwenye shida ni ww ambae ukiamka asubuhi, cha kwanza ni kuingiza mkono wako kwenye boksa badala ya kichwani, kitu ambacho imekupelekea uamini kuwa mtoto wa kike ili aolewe lazima atongozwe, kumbe wala haiko hvo.
Najua sipo hapa kushindana kutukana, lakini nakushauri kama umekosa cha ku-comment ni vizuri ukapita kimya kimya. Nimerudia mara kadha kukuambia soma nilichoandika ukielewa ndiyo u-comment lakini badala yake unazidi kutukana.Kila mtu anakushangaa ulivyo baradhuli, mtu anamtunza mwanae kwa mbinu zote wewe uko hapa kulalamika una akili kweli wewe, una nia njema na binti ungefika kwa wazazi wake kuomba hiari ya kukupa binti yao sio kulialia maza apunguze kumchunga ili wewe hayawani ufanye ufedhuli wako,
Halafu shuleni hukunipeleka wewe usinipangie cha kucomment
Kafie mbeleNajua sipo hapa kushindana kutukana, lakini nakushauri kama umekosa cha ku-comment ni vizuri ukapita kimya kimya. Nimerudia mara kadha kukuambia soma nilichoandika ukielewa ndiyo u-comment lakini badala yake unazidi kutukana.
Kwani akimchagulia kijana wa kumuoa kuna shida si binti yake?? Huyo dada yupo chini ya wazazi wake acha wamachunge wanavyotaka wao usiwapangie. Kama una nia nae ya dhati na yeye amekukubali fwata taratibu nenda kwao oa weka ndani baada ya hapo hapo mwachie uhuru wote unaotaka wewe.Duuu, kwangu mimi nilitafsiri kama kumnyima binti yake nafasi ya kufanya maamuzi kwa kujiamini yeye mwenyewe pasina uwepo wa mama. Yaani niliona kunapoelekea mama ataenda kumchagulia nwanae kijana wa kumuoa!😌
Wewe utafia wapi?Kafie mbele
Kuchaguliwa mtu wa kumuoa au kuolewa naye hilo naweza kusema halina shida. Ila hoja yangu ipo hapa. Ninachoamini mtu akishakuwa admitted kama mwanafunzi wa Chuo , tayari huyu mtu anahesabika ni mtu mzima anayeweza kufanya mambo yake kwa kutumia utashi wake yeye mwenyewe. Kwa mantiki hiyo, kuna kuwa hakuna haja ya kumuwinda winda kama mtoto wa primary school ambaye kwa sehemu kubwa bado anahitaji uangalizi mkubwa sana kutoka kwa wazazi na waalimu wake.Kwani akimchagulia kijana wa kumuoa kuna shida si binti yake?? Huyo dada yupo chini ya wazazi wake acha wamachunge wanavyotaka wao usiwapangie. Kama una nia nae ya dhati na yeye amekukubali fwata taratibu nenda kwao oa weka ndani baada ya hapo hapo mwachie uhuru wote unaotaka wewe.
Mkuu nikwambie kitu, mtoto wa kike hata awe na miaka 40 as long as hajaolewa wala kuondoka nyumbani anatakiwa uangalizi wa wazazi wamchunge hadi atakapoolewa. Huyo mama yupo sahihi sana.Kuchaguliwa mtu wa kumuoa au kuolewa naye hilo naweza kusema halina shida. Ila hoja yangu ipo hapa. Ninachoamini mtu akishakuwa admitted kama mwanafunzi wa Chuo , tayari huyu mtu anahesabika ni mtu mzima anayeweza kufanya mambo yake kwa kutumia utashi wake yeye mwenyewe. Kwa mantiki hiyo, kuna kuwa hakuna haja ya kumuwinda winda kama mtoto wa primary school ambaye kwa sehemu kubwa bado anahitaji uangalizi mkubwa sana kutoka kwa wazazi na waalimu wake.
Mkuu wewe ndo umeelewa ni nini nilitamani kusikia , nashukuru sanaa kwa ufafanuzi wako.Mkuu nikwambie kitu, mtoto wa kike hata awe na miaka 40 as long as hajaolewa wala kuondoka nyumbani anatakiwa uangalizi wa wazazi wamchunge hadi atakapoolewa. Huyo mama yupo sahihi sana.
Watoto wanaharibika mno hasa wakifika chuo. Ni kweli ni mkubwa 24 yrs ana utashi wa kuelewa mambo ila bado hana uatshi wa " kuamua" anachotaka bado yupo chini ya wazazi wake.
MToto kwa wazazi hakui,
We fala kweli, mcha mungu ana boifrendi? Maandazi kabisa weweHabari za muda huu wanajukwaa?
Ipo hivi niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mshichana mmoja anayetokea ukanda wa kaskazini, msichana huyo pia alikuwa akisoma chuo kimojawapo huko Arusha.
Sasa kilichokuwa kikinishangaza licha ya tabia yake kuwa njema na mcha Mungu mzuri lakini bado wazazi wake hasa mama yake ameendelea kumlea kama mtoto mdogo yani bado anamfuatilia sanaa kana kwamba ni binti bado hajavunja ungo.
Jambo hili lilinifanya kujiuliza maswali mengi kwa mfano, je huyu binti anayetarajiwa kuwa mke wa mtu siku chache za usoni anafuatiliwa hivi na mzazi wake ina leta picha gani kwenye jamii?
Jambo jingine mama yake ni mkali sanaa kiasi kwamba akiona tuu kijana yeyote anajisogeza kuongea na mwanaye anamkaripia hadharani sasa najiuliza huyo mama hataki mwanae atongozwe ataolewa vipi? Hata mwanaye anamuogopa sanaa.. Mlio na watoto wa kike hebu mje mtoe uzoefu wenu.
Mkuu umesoma uzi vizuri na kuuelewa? Nakushsuri usome kwanza uzi uelewe nini kinahitajika ndipo utoe maoni. Sidhani kama ulichoandika ndicho kinachohitajika kwenye huu uzi kwa sasa?🤷♂️We fala kweli, mcha mungu ana boifrendi? Maandazi kabisa wewe
Aruhusu utashi wa mtoto utumike Ili umuharibu sio..Mpaka yule msichana alikubali kuingia kwenye mahusiano na mimi na pia nilimweleza malengo yangu juu yake na yeye alinielewa na kunikubalia hilo bila shaka linaonyesha yeye alishajiandaa kuwa mke. Changamoto tuu ni treatment ya mama yake anamfuatilia msichana mkubwa wa miaka 24+ kama mtoto wa darasa la nne. Yani kiufupi haruhusu hata nusu ya utashi wa mwanae utumike!!
Kwahiyo hapo unachotaka ni mama apunguze kumfuatilia binti yake ili baharia ugegede kwa kujinafasiHabari za muda huu wanajukwaa?
Ipo hivi niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mshichana mmoja anayetokea ukanda wa kaskazini, msichana huyo pia alikuwa akisoma chuo kimojawapo huko Arusha.
Sasa kilichokuwa kikinishangaza licha ya tabia yake kuwa njema na mcha Mungu mzuri lakini bado wazazi wake hasa mama yake ameendelea kumlea kama mtoto mdogo yani bado anamfuatilia sanaa kana kwamba ni binti bado hajavunja ungo.
Jambo hili lilinifanya kujiuliza maswali mengi kwa mfano, je huyu binti anayetarajiwa kuwa mke wa mtu siku chache za usoni anafuatiliwa hivi na mzazi wake ina leta picha gani kwenye jamii?
Jambo jingine mama yake ni mkali sanaa kiasi kwamba akiona tuu kijana yeyote anajisogeza kuongea na mwanaye anamkaripia hadharani sasa najiuliza huyo mama hataki mwanae atongozwe ataolewa vipi? Hata mwanaye anamuogopa sanaa.. Mlio na watoto wa kike hebu mje mtoe uzoefu wenu.
Najua shida ni kwamba haujasoma ukaelewa, umeona urukie hoja. Si kwamba nilikuwa na nia ya kumchezea. Nilikuwa na nia ya kumuoa na mipango tulikuwa tunaipanga vizuri. Ila niliingiwa na wasiwasi kuona vile mtu anafuatiliwa kana kwamba ni mtoto mdogo. Usome kwanza hoja ndipo uchangie mkuu.Aruhusu utashi wa mtoto utumike Ili umuharibu sio..
Wewe sio muoaji waoaji wanaendaga na washenga moja kwa moja kwenye familia husika ni malaya kama malaya wengine.
Haujaelewa nini nimemaanisha au pengine umeusoma uzi kwa haraka haraka, nakushauri urudie kusoma kwa taratibu.Kwahiyo hapo unachotaka ni mama apunguze kumfuatilia binti yake ili baharia ugegede kwa kujinafasi
Kukuthibitishia kwamba huyo binti bado anahitaji uangalizi wa wazazi wake ni kwamba, iwapo ataachiwa huru atafanya maamuzi mabaya ya kukuachia uchi wake uuchezee, kizazi chake ukichezee kwa abortions na morning after pills mwisho wa siku umkimbie ukiwa tayari ushamharibia maisha.
Kama umempenda na unataka kumuweka ndani, nenda kwao peleka posa.