Hili suala la wastaafu kupeana Mahekalu, Mwalimu alisema ipo siku Watanzania watalidai Azimio la Arusha

Hili suala la wastaafu kupeana Mahekalu, Mwalimu alisema ipo siku Watanzania watalidai Azimio la Arusha

Umesema ukweli, hizo ni kodi zetu. Kikwete alikuwa waziri wa madini. Ona hiyo mikataba. Amekuwa waziri na raisi na bado anataka hekalu! Hivi watanzania wataamuka lini. Wamemuua shujaa JPM, sasa ona hayo mahekalu tinayowajengea. They have the best pensions na bado wanataka vya bure. Eti serikali haina hela lakini kuna hela za mabenzi na mahekalu. Wastaafu hao si wangepepelekwa kigamboni au shinyanga kwenye Nyumba za wazee!!
Huyo shujaa wako ndiye aliyewajengea mahekalu. Samia kafanya kukabidhi tu maana wakati Mwinyi anakabidhiwa na shujaa wako, hekalu la Kikwete lilikuwa halijaisha. Muasisi wa mahekali ni shujaa mwendazake.
 
Katika kizungumkuti hiki kinachoendelea leo, Wakubwa wanapeana Mahekalu na Mabenzi wakati wanananchi mamilioni kwa mamilioni wanatopea kwenye lindi la umasikini, Imenikumbusha kauli ya mwalimu Nyerere kuwa ipo siku wananchi Watasimama na kulidai tena Azimio la Arusha!

Binafsi ninajua kuwa azimio kama kazi yoyote ya mwanadamu halikuwa perfect lakini lilikuwa na misingi mizuri sana ya kung'oa unyonyaji haswa wa tabaka linalotawala!

Azimio lilikuwa kali mno kwa viongozi wa kisiasa, liliwabana kwelikweli, liliweka masharti magumu kwa wanasiasa kiasi kwamba walikuwa hawapumui. There is no way ungekuwa kiongozi wa kisiasa enzi za azimio kisha ukapeleka hoja za kujijengea Mahekalu na kupeana Benzi ukasurvive tena kisiasa.

Miongoni mwa mambo mazuri ya Azimio la Arusha ilikuwa ni Maadili ya viongozi. Ndani ya Azimio waliweka kanuni kuwa ni Marufuku kwa kiongozi kuwa hata na nyumba ya kupangisha! Na likaenda mbali kumdefine kiongozi ni nani, likasema kiongozi ni mtu yeyote mwenye wadhifa serikalini na chama, na Azimio likasema kuwa Kiongozi maana yake ni mtu na mkewe!, Kwa hiyo unaona wazi kuwa mtu alipigwa pini kujitajirisha kwa kujigicha kupitia identity ya mke/mumewe.

Hivyo ndivyo Jinsi Azimio lilivyokuwa serious, halikutaka kabisa tabia hizi za kuchomeka mirija na kunyonya wananchi kwa kisingizio cha "alikuwa rais, anastahilo ajengewe"

Pia azimio lilitaka mtu ajitegemee, Kama ni mfanyakazi, basi jenga nyumba kwa jasho na kipato chako au pensheni yako!

Ndiyo maana Mwalimu kakaa madarakani lakini hakuwahi kujitungia sheria akistaafu ajengewe nyumba, Hii maana yake ni kuwa aliamini suala la kujenga nyumba ya yeye kuishi ni kwa jasho lake, siyo kungoja ustaafu halafu Jasho na kodi ya wananchi ikujengee nyumba wakati pensheni unapata na unalipwa pesa kila mwezi zinazolingana na asilimia 80 ya mshahara wa raisi aliyeko madarakani! —Kwa nini usijenge mwenyewe kama unahitaji mijumba mingine hata kama unayo mijumba kedekede tayari!

Kwa hiyo ndugu zangu, huu ni kuda muafaka wa kukataa unyonyaji wa hii ruling class, kila kukicha wanafanya mambo ya kuwafanya waendelee kutunyonya huku wakitupiga kiswahili tuvumilie.

1. Wanapeana Mabenzi na Mahekalu.
2. Wamatunga sheria za kupeana Kinga wasishtakiwe kwa makosa wanayofanya madarakani.
3. Bungeni na kwenye baraza la wawakilishi wameweka watoto, wake na ndugu zao

Halafu sasa cha ajabu hawa watu walikuwepo enzi zile za azimio la arusha, Na mwalimu Nyerere masikini aliwaamini kuwa ni wenzie katika kuamini katika misingi ya kukataa dhuluma na unyonyaji katika nchi, kumbe walikuwa na lao moyoni, walikuwa wanamlia timing tu.

Tukatae mambo ya ajabuajabu haya ya watu kutuchukulia for granted!

Solution ya haya mambo ni katiba mpya, tena ya Warioba. Hii ni rasimu iliyoweka maadili ya viongozi ndani yake ili kujaribu kuondoa unyonyaji kama huu. Na hii ilitokana na wananchi kukerwa sana na mambo ya ufisadi.

Tuendeleeni kudai katiba mpya, hii lugha nzurinzuri na laini ya mama Samia ni nzuri, inatupoza lakini haitoshi kwa sababu haibadili sheria!. tunahitaji Katiba mpya yenye kuwabana hawa watawala ili wasitugeuze wananchi misukule yao, Kstiba itakayoondoa mambo ya "chuma ulete" nchini.
1. Wanapeana mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wengine,

2. Pamoja na ukubwa wa mishahara yao, hawalipi kodi,

3. Licha ya ukubwa huo wa mishahara, wamewekeana posho kibao za mafuta ya gari, gari, nyumba, bima za afya daraja la kwanza zisizotokana na makato ya mishahara yao.

4. Wanapeana pension ambazo siyo makato ya mishahara yao. Yaani pension la kujichotea tu kutoka hazina

5. Wakitoka madarakani wanapeana majumba, magari na kuwarithisisha watoto wao vyeo.

Sisi hata viajira vya Laki 5 kwa mwezi, Magu aliona kama watu watafaidi sana.

Kinachofanyika, masikini baba, mama, mtoto, mjomba, shangazi mkisikia Mwanasiasa anapita hudhurieni kwenye mikutano yao,

Msisahau kuwaimbia na kuwatukuza,

..........baba babaaaaa baba huyo 🎶🎶🎶

Mkiwa mnaimba hakikisheni mnaruka ruka juu.
 
1. Wanapeana mishahara mikubwa kuliko wafanyakazi wengine,

2. Pamoja na ukubwa wa mishahara yao, hawalipi kodi,

3. Licha ya ukubwa huo wa mishahara, wamewekeana posho kibao za mafuta ya gari, gari, nyumba, bima za afya daraja la kwanza zisizotokana na makato ya mishahara yao.

4. Wanapeana pension ambazo siyo makato ya mishahara yao. Yaani pension la kujichotea tu kutoka hazina

5. Wakitoka madarakani wanapeana majumba, magari na kuwarithisisha watoto wao vyeo.
Kiufupi tulipaswa kupata kiongozi atakayekwenda kukata marupurupu na mishahara ya kinyonyaji hapa nchini, kwenye mihimili yote Sio bunge, mahakama au serikali.Kwa mfano Sheria inayoruhusu majaji kutolipa Kodi ifutwe wakiwemo na wabunge
 
Huyo shujaa wako ndiye aliyewajengea mahekalu. Samia kafanya kukabidhi tu maana wakati Mwinyi anakabidhiwa na shujaa wako, hekalu la Kikwete lilikuwa halijaisha. Muasisi wa mahekali ni shujaa mwendazake.
..yaani bado hatujapata kiongozi mtetezi wa kweli wa rasilimali za nchi zaidi ya watumbuaji tu
 
Haya Mambo ya udhulumati hayana vyama mkuu, Ni roho tu ya udhulumati.wabunge wa upinzani waliingia bunge wakakuta maposho na mishahara minono hawakuwahi ipinga Ile Sheria ya maslahi yao, wakaendelea kuku kwa mrija tu, kina halima mdee wamekuwa bungeni tangu 2005, lakini wameforce mpaka kuhonga ubunge wa viti maalumu kwa spika ili waendelee kutafuna vinono bungeni ikiwemo mshahara na malupulupu ya 11000000 kwa mwezi.Wanasiasa wengi ni madhulumati
Nakubaliana na wewe ila nadhani wapo wenye misimamo thabiti. Si unajua msafara wa mamba kenge nao wapo. Mikenge ndiyo hiyo inajitoa. Tuone na wao wapinzani watafanya vipi. Tukiwapiga chini fisiemu na kuwapa hawa upinzani plus katiba mpya nzuri itakayowabana viongozi. Wakifanya mchezo tunawapiga chin na wao.
 
Katika kizungumkuti hiki kinachoendelea leo, Wakubwa wanapeana Mahekalu na Mabenzi wakati wanananchi mamilioni kwa mamilioni wanatopea kwenye lindi la umasikini, Imenikumbusha kauli ya mwalimu Nyerere kuwa ipo siku wananchi Watasimama na kulidai tena Azimio la Arusha!

Binafsi ninajua kuwa azimio kama kazi yoyote ya mwanadamu halikuwa perfect lakini lilikuwa na misingi mizuri sana ya kung'oa unyonyaji haswa wa tabaka linalotawala!

Azimio lilikuwa kali mno kwa viongozi wa kisiasa, liliwabana kwelikweli, liliweka masharti magumu kwa wanasiasa kiasi kwamba walikuwa hawapumui. There is no way ungekuwa kiongozi wa kisiasa enzi za azimio kisha ukapeleka hoja za kujijengea Mahekalu na kupeana Benzi ukasurvive tena kisiasa.

Miongoni mwa mambo mazuri ya Azimio la Arusha ilikuwa ni Maadili ya viongozi. Ndani ya Azimio waliweka kanuni kuwa ni Marufuku kwa kiongozi kuwa hata na nyumba ya kupangisha! Na likaenda mbali kumdefine kiongozi ni nani, likasema kiongozi ni mtu yeyote mwenye wadhifa serikalini na chama, na Azimio likasema kuwa Kiongozi maana yake ni mtu na mkewe!, Kwa hiyo unaona wazi kuwa mtu alipigwa pini kujitajirisha kwa kujigicha kupitia identity ya mke/mumewe.

Hivyo ndivyo Jinsi Azimio lilivyokuwa serious, halikutaka kabisa tabia hizi za kuchomeka mirija na kunyonya wananchi kwa kisingizio cha "alikuwa rais, anastahilo ajengewe"

Pia azimio lilitaka mtu ajitegemee, Kama ni mfanyakazi, basi jenga nyumba kwa jasho na kipato chako au pensheni yako!

Ndiyo maana Mwalimu kakaa madarakani lakini hakuwahi kujitungia sheria akistaafu ajengewe nyumba, Hii maana yake ni kuwa aliamini suala la kujenga nyumba ya yeye kuishi ni kwa jasho lake, siyo kungoja ustaafu halafu Jasho na kodi ya wananchi ikujengee nyumba wakati pensheni unapata na unalipwa pesa kila mwezi zinazolingana na asilimia 80 ya mshahara wa raisi aliyeko madarakani! —Kwa nini usijenge mwenyewe kama unahitaji mijumba mingine hata kama unayo mijumba kedekede tayari!

Kwa hiyo ndugu zangu, huu ni kuda muafaka wa kukataa unyonyaji wa hii ruling class, kila kukicha wanafanya mambo ya kuwafanya waendelee kutunyonya huku wakitupiga kiswahili tuvumilie.

1. Wanapeana Mabenzi na Mahekalu.
2. Wamatunga sheria za kupeana Kinga wasishtakiwe kwa makosa wanayofanya madarakani.
3. Bungeni na kwenye baraza la wawakilishi wameweka watoto, wake na ndugu zao

Halafu sasa cha ajabu hawa watu walikuwepo enzi zile za azimio la arusha, Na mwalimu Nyerere masikini aliwaamini kuwa ni wenzie katika kuamini katika misingi ya kukataa dhuluma na unyonyaji katika nchi, kumbe walikuwa na lao moyoni, walikuwa wanamlia timing tu.

Tukatae mambo ya ajabuajabu haya ya watu kutuchukulia for granted!

Solution ya haya mambo ni katiba mpya, tena ya Warioba. Hii ni rasimu iliyoweka maadili ya viongozi ndani yake ili kujaribu kuondoa unyonyaji kama huu. Na hii ilitokana na wananchi kukerwa sana na mambo ya ufisadi.

Tuendeleeni kudai katiba mpya, hii lugha nzurinzuri na laini ya mama Samia ni nzuri, inatupoza lakini haitoshi kwa sababu haibadili sheria!. tunahitaji Katiba mpya yenye kuwabana hawa watawala ili wasitugeuze wananchi misukule yao, Kstiba itakayoondoa mambo ya "chuma ulete" nchini.
Ila huyo Mwalimu unaemtolea mfano nae alijengewa hekalu baada ya kustaafu
 
Una akili timamu?
Umesema ukweli, hizo ni kodi zetu. Kikwete alikuwa waziri wa madini. Ona hiyo mikataba. Amekuwa waziri na raisi na bado anataka hekalu! Hivi watanzania wataamuka lini. Wamemuua shujaa JPM, sasa ona hayo mahekalu tinayowajengea. They have the best pensions na bado wanataka vya bure. Eti serikali haina hela lakini kuna hela za mabenzi na mahekalu. Wastaafu hao si wangepepelekwa kigamboni au shinyanga kwenye Nyumba za wazee!!
 
Ila huyo Mwalimu unaemtolea mfano nae alijengewa hekalu baada ya kustaafu
Mwalimu hakujilimbikizia mali na alikuwa na nyumba ya kawaida sana sana. Alikataa walipotaka kumjengea nyumba. Jeshi lilijenga kimya kimya na kumlazimisha aipokee. Na unajua wanajeshi wanajenga kwa jasho lao. Hapo gharama zilikuwa materials tu. Pia pensheni ya mwalimu ilikuwa ndogo sana na mshahara wake alipokuwa raisi. Baada ya kustaafu aliishi maisha ya kawaida sana. Alikuwa analima yeye mwenyewe kwa jembe la mkono. Huyu angalau alikuwa na uchungu na rasilimali za taifa hili pamoja na mapungufu yake.
 
Binafsi nafikiri itafika tu siku vyote Hv watarejesha. Si sawa MTU analipwa salary bora kabisa HD kufa, na marupurupu tele, bado ndiye abayepewa upendeleo wa mema yote. Naamini ingetakiwa MTU afe ili wao waishi yaani tusingekikuwepo. Mfumo wetu sio mzuri
 
Ila huyo Mwalimu unaemtolea mfano nae alijengewa hekalu baada ya kustaafu
Tofautisha kujengewa kama hisani na kujengewa eti ni stahiki yako wakati una mijumba kedekede.

Mwalimu hakuacha sheria ya wastaafu kupeana mabenzi, mahekalu, mshahara 80% ya mshahara wa rais aliyeko madarakani. Hiyo sheria ilitungwa wakati wa BWM ambapo Kikwete na Magufuli walikuwa sehemu ya serikali, na walipokuja kuwa maraisi wakaendelea nayo hiyo sheria, hawakuifuta!

Nyerere alijengewa na Jeshi, Sasa mambo ya Jeshi ni ya jeshi wale wana sheria zao tofauti na ufanyaji mambo tofauti na huku uraiani.
 
Umesema ukweli, hizo ni kodi zetu. Kikwete alikuwa waziri wa madini. Ona hiyo mikataba. Amekuwa waziri na raisi na bado anataka hekalu! Hivi watanzania wataamuka lini. Wamemuua shujaa JPM, sasa ona hayo mahekalu tinayowajengea. They have the best pensions na bado wanataka vya bure. Eti serikali haina hela lakini kuna hela za mabenzi na mahekalu. Wastaafu hao si wangepepelekwa kigamboni au shinyanga kwenye Nyumba za wazee!!
Npo gizani
 
Yaani kwa kweli inafurahisha.......... Viongozi (ambao walikuwa watumishi wa Uma) wanapata;
Nyumba za Bure
Usafiri wa Bure
Ulinzi wa Bure
Matibabu Bure
Pension e.t.c

Wastaafu (ambao nao pia walikuwa watumishi wa Uma)
Pension wanapata kwa kuhangaishwa na mpaka wahakikiwe
Matibabu ndio wawekwe kwenye Bima za watoto wao ambao wana Bima ????

waturuhusu tu kuwe na ugombea binafsi (Wote tunatamani kuwa viongozi aisee)
 
Yaani kwa kweli inafurahisha.......... Viongozi (ambao walikuwa watumishi wa Uma) wanapata;
Nyumba za Bure
Usafiri wa Bure
Ulinzi wa Bure
Matibabu Bure
Pension e.t.c

Wastaafu (ambao nao pia walikuwa watumishi wa Uma)
Pension wanapata kwa kuhangaishwa na mpaka wahakikiwe
Matibabu ndio wawekwe kwenye Bima za watoto wao ambao wana Bima ????

waturuhusu tu kuwe na ugombea binafsi (Wote tunatamani kuwa viongozi aisee)
Mkuu watumishi wa umma wakishastaafu wakipata hata hicho kiunua mgongo japo kidogo wamshukuru mungu, ulitaka kuona usumbufu wa mifuko ya hifadhi ya jamii staafu, Mara utaambiwa lete barua yako ya kwanza ya ajira, Mara leta mkataba wa ajira, Ni full usumbufu.Wako wastaafu Wana zaidi ya miaka miwili hawajawahi pata kiunua mgongo Chao kamwe.
 
Umesema ukweli, hizo ni kodi zetu. Kikwete alikuwa waziri wa madini. Ona hiyo mikataba. Amekuwa waziri na raisi na bado anataka hekalu! Hivi watanzania wataamuka lini. Wamemuua shujaa JPM, sasa ona hayo mahekalu tinayowajengea. They have the best pensions na bado wanataka vya bure. Eti serikali haina hela lakini kuna hela za mabenzi na mahekalu. Wastaafu hao si wangepepelekwa kigamboni au shinyanga kwenye Nyumba za wazee!!
hapo kwenye shujaaa umekosea sababu hiyo nyumba amejengewa na huyo huyo anaeitwa shujaaa sijui shujaaa wa nn,wote ni wanyonyaji tu.
 
Na ndio wengi wenye maisha ya shida na wala rushwa hayo maaskari yanayolinda majizi yanayogawana nchi
Hii thread natamani viongozi wetu na wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama wakiwemo na maaskar wetu wote waje wapitie hapa kuna kitu watajifunza maana wametufanya kama watumwa kweny nchi yetu wanasahau kabisaa kama sisi ndo wenye nchi yetu na ndo tuko wengi wao niwachane mno sisi raia ndo wengi kuliko wao kwa iyo wawe makini kuna siku hayo majeshi yao, vifaru,na bunduki hazitafanya kazi kuwalinda wala kuwaokoa ikiwa wenye nchi tukiamua kwa umoja wetu.. maana wamekosa hata huruma na utu kwa wananchi bila kujali umaskini tulionao,

fikiria ni wizi kiasi gani na kujirimbikizia mali wanafanya na wengi wao hawafanywi chochote hata makamani hawapelekwi zaidi ya kulindana na kumahishana na kubadilishana vituo vya kazi mfano kama ameharibu kigoma anapelekwa singida au mwanza nk na maisha yanendelea

kuna viongozi wazazi wao wote baba na mama walikuwa viongozi tena wakubwa nchi hii wao pia ni viongozi na wnafabya chini juu na watoto wao pia wawe viongozi nao pia wanafanya kila liwezekalo na wanao pia watakuwa Viongozi sasa unaziuliza hii kamba ya kuwekana, kuteuana wao kwa wao sisi wengine ambao hatuna ndugu walioko juu tunakosa ajira na kazi kisa hatuna wa kutupendelea wala kutusaidia
 
Back
Top Bottom