binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Enhee na mimi ni bibi wa kupambania 🤣Unapambana kama Mzee wa kupambania 😀 binti kiziwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enhee na mimi ni bibi wa kupambania 🤣Unapambana kama Mzee wa kupambania 😀 binti kiziwi
Majibu ya swali hili hutumika ktk kutengeneza makadirio na matumizi ya "mizinga" ambayo mwanamke atakuwa anakupiga.Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
hahaha sawaInaonesha huna shule kwa jinsi unavyo wachukia wasomi
Upo sahihi mkuu. Kwani wao ni vilema!Neno "KUHUDUMIA" linatia kichefuchefu sana.
Vipi na mwanaume anaetongoza mwanamke swali la kwanza kwa mwanamke anafanya kazi gani? Tena hawa ndio wengi sana siku hizi.Swali hilo tayari ni red flag kuwa hapo unamtongoza malaya.
Mdanganye kwa sababu anataka aone anakuweka kwenye kundi gani la anaowapiga vizinga
Halafu na wewe muulize je, yeye ni bikira?
The game is brutal but still fair
Hawataki mama wa nyumbani a.k.a golikipaVipi na mwanaume anaetongoza mwanamke swali la kwanza kwa mwanamke anafanya kazi gani? Tena hawa ndio wengi sana siku hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi na wanawake wakihoji hivyo msishangae kwani si wanawake wote hawana kazi na ombaomba, wengine wana kazi zao na ni wastaarabu hawataki mario.Hawataki mama wa nyumbani a.k.a golikipa
Kanuni ni never date a woman who bring only pussy to the table
Kanuni ni never date a woman who bring only pussy to the table
Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono 😂
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowa
Kuna mmoja humuKwahiyo ukikutana nae fresh tu.
Kuna mmoja humu aliniumizaga nafanya kazi gani nikamjibu nauzaga majeneza akaniblock kabisa😀ila badae nilimfuata Pm na Id mpya nikajifanya nauzaga magari kutoka Japan akanikubali fasta japo sikufanikiwa kumla maana alianza vizinga mfurulizo nikaona nipite hiviWe ukiulizwa unafanya kazi gani muulize unataka nigawie mshahara huku una tabasamu...🙂
Wanataka wasaidizi kama Mungu anavyosema sio wanawake wanaochangia K tuBasi na wanawake wakihoji hivyo msishangae kwani si wanawake wote hawana kazi na ombaomba, wengine wana kazi zao na ni wastaarabu hawataki mario.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia inasemwa mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya K sio kwamba tunawapongezaAlafu hii kauli kwani si ni nyie ndio mnasema mwanamke hana cha ku'ofa zaidi ya sex sasa hao wenye kazi mnawataka wa nini? Ama kweli dunia ina mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwnamke ukimuaidi ndoa anakuganda sanaYani watu ambao mnapenda kona kona mnashangaza kweli.
Kuna ajabu gani mtu kujua lengo la mnachoanzisha???
Ofcourse, hakuna mahusiano yanaanza yakiwa na guarantee ya kufika mbali hukoo, but knowing kuna potential for that makes a lot of difference. Hamna haja yakupotezeana muda wala mmoja kuwa na expectations ambazo zinaweza kuleta makwazo/usumbufu baadae.
Miss youVipi na mwanaume anaetongoza mwanamke swali la kwanza kwa mwanamke anafanya kazi gani? Tena hawa ndio wengi sana siku hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1635]Mtu kuwa na kazi nzuri ni kitu kingine na kuhudumia mwanamke ni kitu kingine
Alafu kunawanaume wanapenda kuuliza wanawake ilo swali sijui nao Huwa wanatak nn