Hili swali kutoka kwa wanawake huwa limekaa kimtego Sana

Usikubali kutumika hilo swali mjibu nusu tuu abaki anachambua akilini mwake, mwanamke anaye uliza hilo swali moja kwa moja ni malayer
 
umri wako bro?...... bank teller ni kazi ya wanawake.....mtanisamehe ila ukweli mchungu... so jibu hilo utapata dyudu tuuu........lecturer may be...... but......
 
kwahyo lekicha wa yudizim na benki tela ndio kazi zenye mkwanja mzuri mpka uweze kuhudumia dem😂😂😂😂 labda dem asiejielewa.....
kazi za kuzidiwa kipato hata na teja wa bondeni ferry kazi gani hizo uchwara
Yaani tena anamzidi kipato lecturer? Hapa uliandika ukiwa umekalia u bore?
 
Oyaa wanaume tunazingua kikuma yaani.
Mnaonifaham na kunifollow kwenye threads zang mnisamehe tu maana I'm fedup with shit niggas.
We need to be creative.
 
Hili ni darasa kwa vivulana vya kuanzia 2000 ila sio kwa wakongwe.
 
kwahyo lekicha wa yudizim na benki tela ndio kazi zenye mkwanja mzuri mpka uweze kuhudumia dem😂😂😂😂 labda dem asiejielewa.....
kazi za kuzidiwa kipato hata na teja wa bondeni ferry kazi gani hizo uchwara
Ametoa majibu kwa ajili ya demu unayemtongoza. Sasa mwambie demu kuwa wewe ni teja pale ferry, kama atakukubalia huyo ndo hajielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…