Ila ishu ni ileile ulinzi wa amani sio mapiganoCongo peace keeping ilimalizika mwaka Jana mwanzoni baada ya vikosi vya UN kuondolewa sahizi ni mapigano tu.
Tanzania tumeenda chini ya mwavuli wa Sadc
Mkuu mfano ikitokea mtoto wa Museven akawa Rais na ukichaa wake akaamua kuivamia Tz kudai mpaka alio dai Idd Amini vita itakua ni LAZIMANimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.
Ni chuma tu no way out.dawa ya muasi inajulikana.
Vita ndio ilivyo, dont sign up kama unataka kuvaa tu gwanda uitwe mwanajeshi, sign up sababu uko tayari ku lay your life down for the countryNimejaribu kufikiria hivyo, baada ya kuona picha za wanajeshi walio-uwawa huko kwenye vita ya Ukraine na Urusi.
Naona vijana wameangamia, huku wakiwa wameacha tegemezi, watoto, wake n.k; huku wanaofanya maamuzi wakiwa ofisini wakipulizwa viyoyozi.
Inawezekana, wakuu? Uhai kwanza, mengine baadaye.
Mwanajeshi haogopi kifo mkuu. Anaogopa Taifa lake kuchukuliwa na watu wengine .. ndio maana anakula kiapo .Kwa hiyo ni bora uende kwenye kifo?
Nadhani hujanielewa naongelea kwenye perspective ipi. Achana na u jkt wako sawa?Ni nani huyo aliekudanganya askari si raia? Askari ni raia kama wengine but yeye ana mafunzo ya kijeshi na uvumilivu wa Kila hali.
Kwa maana ya sentensi yako ni kwamba hata mwalimu so raia kwasababu ya kazi yake!
Wazi?
Vipi kuhusu DP World kuchukua pande la nchi ndani ya nchi nyingine na kisha wao kulimiliki? Hivi hao Wanajeshi ambao wanaoogopa nchi yao kuchukuliwa na Watu wengine wako wapi?Mwanajeshi haogopi kifo mkuu. Anaogopa Taifa lake kuchukuliwa na watu wengine .. ndio maana anakula kiapo .
DP si walisainishana na government officials . Kwani walikuja kwa njia za kuiteka bandari na kuimiliki ? . Wale ni wawekezaji ambao wamekubalika na viongozi wetu, sisi mihemko yetu wala sio shida .. kama unahisi walikosea ni sisi sasa raia kupinga huo uongozi uliopo madarakani ..Vipi kuhusu DP World kuchukua pande la nchi ndani ya nchi nyingine na kisha wao kulimiliki? Hivi hao Wanajeshi ambao wanaoogopa nchi yao kuchukuliwa na Watu wengine wako wapi?
Yaani wewe ufe, wengine wafaidi; hiyo mioyo ya namna hiyo siku hizi haipo.Mwanajeshi haogopi kifo mkuu. Anaogopa Taifa lake kuchukuliwa na watu wengine .. ndio maana anakula kiapo .
Ile kazi ni wito, hufi kwa ajili ya kiongozi, is why wanaapa kuipinda katiba na kulinda mipaka ya nchi. Si kulinda kiongoz?Yaani wewe ufe, wengine wafaidi; hiyo mioyo ya namna hiyo siku hizi haipo.
Kwa nchi nyingi Sana za kiAfrika na katika nchi zenye tawala za kikomunisti/ujamaa, haya Maelezo yako hayana Ukweli wowote ule, ni uwongo.Ile kazi ni wito, hufi kwa ajili ya kiongozi, is why wanaapa kuipinda katiba na kulinda mipaka ya nchi. Si kulinda kiongoz?
Pole sana , kama umewahi serve, hiko ndio kiapo , tz sio communist country ni mixed systemsKwa nchi nyingi Sana za kiAfrika na katika nchi zenye tawala za kikomunisti/ujamaa, haya Maelezo yako hayana Ukweli wowote ule, ni uwongo.
Tanzania siyo nchi yenye Utawala wa kikomunisti? Nani kakudanganya?Pole sana , kama umewahi serve, hiko ndio kiapo , tz sio communist country ni mixed systems
I was there first time nakula kiapo with wengine wengi back in the days
Lile ni jeshi la wananchi mkuu.. Hata hawa viongozi wakikengeuka ndio utanielewa sasa .. Jeshi huwa linawaondoa bila kujali chochote na nchi inakuwa chini ya jeshiYaani wewe ufe, wengine wafaidi; hiyo mioyo ya namna hiyo siku hizi haipo.
Ebu tufafanulie kuhusu Juche, Jiraw, Jaju n.kTanzania siyo nchi yenye Utawala wa kikomunisti? Nani kakudanganya?
Je, unafahamu kwamba CCM Mfumo wao wa Utawala wa nchi na Serikali inafuata Itikadi za Kikomunisti/ujamaa hususani Itikadi kali ya Juche ??? Kwanza unaelewa maana ya Itikadi na misingi ya Juche pamoja na dhana nzima ya Juche? Are you aware about that Ideology so called Juche ? Do you know anything about Jurip, Jaju and Jiraw in regards to Juche ideology ?
Kwenda gaza, hapanaKwani ulitumwa uombe jeshi?
Je, ni kweli katiba wanailinda?Ile kazi ni wito, hufi kwa ajili ya kiongozi, is why wanaapa kuipinda katiba na kulinda mipaka ya nchi. Si kulinda kiongoz?
Kwa mazigira hayo, si bora waje Afrika kuchukua nguvu kazi?Wa Ukraine 1700 wamekimbia kambini,wakiwa training Ufaransa, so watalambwa shaba?