Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Haisaidii kituHili kundi la hawa wazee waliovaa nguo nyeusi na nyekundu sijawaelewa maana wamepiga Ngoma zao na mikia ya kiganga kwa zaidi ya dakika 40.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake.
Hebu tusaidie mkuu hii kitaalamu wa kitamaduni ina maana gani?Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake😂😂😂😂😂😂
Mwaka huu tutaona mengi sana.
😂😂Unauliza tena Zenzibar ngoja niende nikanunue ata jini la laki mbili linisaidie ktk mambo yangu
Kwahiyo unamponda mwarabu na unajisikia fahari kwa mzungu? Akili za mwafrika Bado ni za kishenzi tu hata baada ya miaka zaidi ya 60 ya kupata uhuru.
KumbeKila kiongozi ana mganga wake.
Haya mshenzi ni kiswahili tu ila kwa kiingereza waliitwa uncouth, uncircumcised baboon.ni wapi nimemponda mwarabu? nimeelezea asili na maana ya neno “mshenzi” …
Lukas yupo kamsamba amechanganyikiwa mpunga aliolima umeenda na maji,
Serikali inaroga 😂😂Hayaepukiki hayo, kupikwa ni lazima
Sana tu. Kumbuka Serikali ni watu. Wanaroga mno!Serikali inaroga 😂😂
Ndio hivyo mambo yashafanywa kienyeji hapo Kiz.Ndo maana simba aliefungwa kwenye kibanda akaitwa Lissu,,,,,,mwakani mama anashinda kwa 100% yani zaidi hata ya Kagame alivyoshinda huko Rwanda