Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Wasafi waliuwa sanaaaa yani sanaaa Rayvanny see you young bro unakuja vizuri sanaa
 
We utakuwa hutumii akili zako vizuri. Diamond is one my best na sina chuki nafikiri unatakiwa usome vizuri hio comment yangu. Na kwenye ukweli lazima niseme ni mawazo yangu kama yalivyo yako.
Kubishana sijazoea ila we unaonekana huna kazi zaidi ya kubishana na unayembishania hajui hata ndevu zako zimekaaje. Good luck with that, loser...
 
Siasa zimekujaje hapa wewe?
Sound unajua ilisimamiwa na nani?
DJ's walikuwepo wengi ni kila mmoja ana aina yake ya muziki, Ommy huwa ni mtu wa amsha amsha, Kidlax na Jacko hawa ni motooo sitaki kuwazungumzia.

Kuna wanyama wengine pale Dj lucky, DJ Y.O.B na DJ Delvik haki ya mzungu ukisikia playlist zao wewe sikiliza hata wasafi fm upagawe

Nadhani ulikuwa una stream YouTube ndio maana ungeangalia Tv au ukaenda uwanjani unamjua Tudd Thomas unamsikia wewe ndio sound engineer wa Simba sasa hivi.
Show ya kahama ya one man one mic ilikuwa yeye.
Hakika jana Simba aliuwa igweeeeee hutaki jinyonge brother maana utaendelea kuumia sana huku ukimfatilia
 
mimi loser ms bigotries?
Akili zangu kubwa sana ndio maana wewe na mumeo hakuna mnachoweza kunizidi and I'm sure of that.

Ukweli gani useme wewe hujui kitu watu tuko kwenye hii tasnia tunaelewa nini kilifanyika everything was under control na watu waliuwa.

Lights zilikuwa heavy.
Sound ya kibabe.
DJs makini.
Drummers wa maana.
Pianists wa kufa mtu.
Stage la kimataifa.

Wasanii walipangwa kimtiririko mzuri hakuna kilichoboa msanii kama mzee wa bwax, amber lulu, gigy mapesa na sholo mwamba kupanda kwenye stage kama ile unafikiri mchezo masikini wewe?

Endelea kutufatilia hutaweza kuacha maana tunajua huna namna
 
Ungejadiliana na mumeo huko ghetto kwenu ulilileta hapa kufanyaje ngoja waje kukupa dawa
Hakana akili hako kamwanamke.
Unaweza kukuta kana sura mbovuuu shape hakana hata wale wa air Tanzania wana ahuweni
 
Mnabishana lakini fiesta na wasafi vyote vya mtu mmoja alieamua kujiwekea upinzani mwenyewe ili awapige vzuri.

Nyie kuleni burudani kusaga apige hela.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kusifiwa wanataka wakipondwa wanaleta ushubwada hapa mxiewwww
Hater wa bongo 😝😝😝😝
Huna namna leba unaenda lini ukamzae huyo mtoto chuki
 
Wewe ni mshabiki wa muziki!
 
Mnabishana lakini fiesta na wasafi vyote vya mtu mmoja alieamua kujiwekea upinzani mwenyewe ili awapige vzuri.

Nyie kuleni burudani kusaga apige hela.
Bro hatulinganishi hayo.
We're talking about Wasafi festival here and we actually don't care who owns those two festivals
 
Mashabiki Wa Domokaya Hamna Akili
Sasa mimi na wewe nani hana akili?
Embu ona
Wewe unamchukia Mondi baba lao umesikiliza na umetazama na moja ya nyimbo za Simba ziko kwenye playlist yako.
Tv yake unaiangalia jana umekesha kumtazama bado unajiita una akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…