Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

Wasafi waliuwa sanaaaa yani sanaaa Rayvanny see you young bro unakuja vizuri sanaa
 
Wewe Simba unamjua unamsikia umekaa kodo mpaka Simba kaimba unafikiri ni mchezo?

Ni mmoja wa wasanii watano bora Africa nzima unaleta ushubwada hapa Simba akienda sehemu Yoyote africa mashariki na kati shughuli zina simama wewe ni best performer na ni best Singer
Hizo chuki zako peleka huko ukasikilize mshumaa maana ushaumizwa wewe
We utakuwa hutumii akili zako vizuri. Diamond is one my best na sina chuki nafikiri unatakiwa usome vizuri hio comment yangu. Na kwenye ukweli lazima niseme ni mawazo yangu kama yalivyo yako.
Kubishana sijazoea ila we unaonekana huna kazi zaidi ya kubishana na unayembishania hajui hata ndevu zako zimekaaje. Good luck with that, loser...
 
Vijana mna akili za ki ccm sana
Kila mtu ambaye atajaribu kuikosoa serikali ama toa ushauri; mmoja kwa mmoja mnaitimisha haipendi serikali.

Wameanza vizuri lakini kuna vitu kibao inabidi wavi improve. Baadhi ni kama

Sound ilikuwa mbovu next time wamfatafute mtu sahihi.

DJ bora wangemuacha omy crazy sio yule DJ wao alikuwa kapoa sana.
Siasa zimekujaje hapa wewe?
Sound unajua ilisimamiwa na nani?
DJ's walikuwepo wengi ni kila mmoja ana aina yake ya muziki, Ommy huwa ni mtu wa amsha amsha, Kidlax na Jacko hawa ni motooo sitaki kuwazungumzia.

Kuna wanyama wengine pale Dj lucky, DJ Y.O.B na DJ Delvik haki ya mzungu ukisikia playlist zao wewe sikiliza hata wasafi fm upagawe

Nadhani ulikuwa una stream YouTube ndio maana ungeangalia Tv au ukaenda uwanjani unamjua Tudd Thomas unamsikia wewe ndio sound engineer wa Simba sasa hivi.
Show ya kahama ya one man one mic ilikuwa yeye.
Hakika jana Simba aliuwa igweeeeee hutaki jinyonge brother maana utaendelea kuumia sana huku ukimfatilia
 
We utakuwa hutumii akili zako vizuri. Diamond is one my best na sina chuki nafikiri unatakiwa usome vizuri hio comment yangu. Na kwenye ukweli lazima niseme ni mawazo yangu kama yalivyo yako.
Kubishana sijazoea ila we unaonekana huna kazi zaidi ya kubishana na unayembishania hajui hata ndevu zako zimekaaje. Good luck with that, loser...
mimi loser ms bigotries?
Akili zangu kubwa sana ndio maana wewe na mumeo hakuna mnachoweza kunizidi and I'm sure of that.

Ukweli gani useme wewe hujui kitu watu tuko kwenye hii tasnia tunaelewa nini kilifanyika everything was under control na watu waliuwa.

Lights zilikuwa heavy.
Sound ya kibabe.
DJs makini.
Drummers wa maana.
Pianists wa kufa mtu.
Stage la kimataifa.

Wasanii walipangwa kimtiririko mzuri hakuna kilichoboa msanii kama mzee wa bwax, amber lulu, gigy mapesa na sholo mwamba kupanda kwenye stage kama ile unafikiri mchezo masikini wewe?

Endelea kutufatilia hutaweza kuacha maana tunajua huna namna
 
Ungejadiliana na mumeo huko ghetto kwenu ulilileta hapa kufanyaje ngoja waje kukupa dawa
Hakana akili hako kamwanamke.
Unaweza kukuta kana sura mbovuuu shape hakana hata wale wa air Tanzania wana ahuweni
 
Mnabishana lakini fiesta na wasafi vyote vya mtu mmoja alieamua kujiwekea upinzani mwenyewe ili awapige vzuri.

Nyie kuleni burudani kusaga apige hela.
 
Najarbu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finale, wat I see jamaa bado wana long way to go, kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old School tu, sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist!
Wewe ni mshabiki wa muziki!
 
Mnabishana lakini fiesta na wasafi vyote vya mtu mmoja alieamua kujiwekea upinzani mwenyewe ili awapige vzuri.

Nyie kuleni burudani kusaga apige hela.
Bro hatulinganishi hayo.
We're talking about Wasafi festival here and we actually don't care who owns those two festivals
 
Back
Top Bottom