Hili tukio limenifanya nisimuamini mwanaume yoyote

Sikukatalii, utakuwa mzuri sana kaka alipatia mfadhaiko wa Akili,msamehe Bure,hata yeye kama zimo kichwani ana Aibu KUBWA!
 
Upo sahihi kwa hatua ulizozichukua ili kujilinda wewe na kumlinda yeye na kadhia za jela.

Lakini katika andiko lako nilikuwa nafuatilia kusoma namna mtoto wa baba alivyobadilika rangi ya macho na kuwa mekundu!

Na andiko limenikuta nikiwa na 'lust' ya kula nyama ya mtu, imebidi nikimbilie kwene kioo cha ukutani kujishushua machoni, lakini mbona nimekuta bado ni meupe na huku bado kitu kinasoma mbaya?

Au kakako alivuta ganja siku hiyo?

Hili la kutakana bila kutongozana ndo'nazidi kumshangaa zaidi maana huo ni ubakaji kwa 100% na agefungwa!

Au mkuu angegonga ungelimfichia siri?

Mkikutana leo mnaangalianaje, au anajibaraguza na kujifanya hakumbuki issue?
Halafu mkuu nawe unaonekana ni mzuri sana, yaani bonge la pisi!

Inakuwaje jamaa anakutamani hadi anashindwa kuongea maneno yenye kueleweka na kubakia kuomba kitu kama anaomba chakula!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…