Hili tukio limenifanya nisimuamini mwanaume yoyote

Kwani ni yeye basi shida ni kukosa super sub. Na alikuwa katingwepo.
 
Kuna mwanamme kakukopa? Sisi tunakusanya madeni hata yale yaliyoshindikana. DM for details
 
Kwa kaka yako ilikuwa dhambi ila......angekuwa mhuni mwingine mambo yangekuwa freshly au siyo??
 
Wanawake ni pamoja na wewe hapo,hebu jiulize mambo ya mskitini au church umewahi kuta yamevuka njia ya pili,hivi vitu unakula kimya kimya na hufunguki kokote. Sababu kuu ni Kua,maisha ni mafupi mno kupambana na wanamaji au wapiganaji.
Unamuunga mkono kwahiyo
 
..mi HATA sijagika robo
....inaendeleaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…