Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Atakayenioa ataikuta ataaminiManeno matupu hayavunji mfupa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakayenioa ataikuta ataaminiManeno matupu hayavunji mfupa...
Mbona alikuomba kistaarabu.Ile hali aliyokuwa nayo nilihisi kabisa anataka kunibaka
Duh! Hili sasa ni pepo siyo bure, ntakuwa na imani lakini ntachukua tahadhariUmeathirika kisaikolojia lkn sio wanaume wote ni wapuuzi kama huyo kaka ako,ukishaambiwa huyu ni ndugu yako unatakiwa ufute tamaa zako zote juu yake,usiseme wanaume tu nimesoma jana mtandaoni kuna mwanamke Kenya ana mimba ya mtoto wake wa kiume,hili nalo utasemaje...?
Wewe hiyo si laana jamani, alafu nilikuwa bado mdogo haya mambo nisingeweza kufanyaMbona alikuomba kistaarabu.
Unge..... tu
Wala siyo kweli nipo kawaida ni yeye tu tmaa zakeUtakuwa ulijazia Mnyazi mpaka akawa anajuta kuwa kaka yake.View attachment 3266883
😁😁😁watu wangesikitika saa ngapi sasaSasa si ungempa, hata huu uzi usingetuandikia leo 😹😹😹
Ungepaka m@teWewe hiyo si laana jamani, alafu nilikuwa bado mdogo haya mambo nisingeweza kufanya
😁😁😁wewe siyo mtu mzuri kabisaUngepaka m@te
Angekuchachua ungekuja na uzi wa kumsifia 😹😁😁😁watu wangesikitika saa ngapi sasa
Nilikuwa bado mdogo angeniharibia usichana wangu🥲🥲Angekuchachua ungekuja na uzi wa kumsifia 😹
Hapo sijakupata vizuri mkuuWanawake hawawezi kubaka ? Tuseme hio story wewe ungekuwa ndio dada mtu umekwenda kwa baba wa kufikia ukakuta mtoto wa baba huyo mwingine (isingeweza kutokea same scenario) ?
KawaidaHatari sana hawa viumbe
Hayo yote yaliyofanyika (kama kweli yalifanyika) yasingeweza kufanyika kwa dada (aliyemzidi umri mtoto wa kiume) kwa kumwabia hayo ambayo so called kaka yako alikwambia ?Hapo sijakupata vizuri mkuu
Ni kweli yapo makubwa zaidi lakini mimi hili linanifanya nichukue tahadhariHilo tukio ndio limekushtua?. Mbona dogo tu,tena huyo ni kakaako sio wa tumbo moja,kuna uwezekano hata sio ndugu yako mamaake na kakaako alimuuzia tu babaako mbuzi kwenye gunia. Lakini nakuambia Kuna matukio makubwa Yapo nyuma ya pazia mpaka ukiyasikia unazimia unazinduka tena,unazimia tena
Wanatishia amani kabisaHatari sana hawa viumbe