Pennsylvania
JF-Expert Member
- Sep 25, 2019
- 335
- 503
Nimemtolea mfano tu. Sio main subject.unampiga majungu bilionea mkuu.
Hata ngozi nyeusi wana vaa.Asalaaaaaleeee,
Halaf kwa nn wengi wao rangi nyeupee...
Ndio maana nimepigwa butwaa labda huenda mimi ni MTAMBASHI na nipo Nyuma ya wakati.Hapana,Mwanaume hupaswi kuonesha mapaja hovyo labda ufukweni
Itakuwa ni Nchi ya kuikimbia kama ikitokea hivyo.Kuna DC amelaumiwa kwa kuvaa sare za JWTZ, zamu ya huyu kulaumiwa kwanini amekalia kiti cha jeshi
Binafsi siafiki.Sisi conservative hatukubaliani na hayo mavazi kwa mwanaume kwenu liberal
That at least shows you're a Gentleman.Napenda bukta/pensi sana, nikiwa home au mazingira ya home huwa sivai suruali, lakini ya juu ya magoti hapana.
No, I'm not! Hilo ondoa kabisa!!!That at least shows you're a Gentleman.
Kwa hiyo kwasababu wewe huvai basi wanaovaa wanakosea??Binafsi siafiki.
Navaa bukta mara chache sana lakini sio zile za kuonesha Mpaja. Kama huyo business magnet.
Hapa tatizo sio uswahili. Tatizo ni ufukaraKwa hiyo kwasababu wewe huvai basi wanaovaa wanakosea??
Waswahili bhana hebu mtoke kwenye shimo mje duniani muone watu wanaishi vipi.