Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Hyo nne ya Mo ukijaribu kuiweka utavunjika miguu. Heri utafute ela kwanza ukikaa nne inajikunja tu yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe, watu hawajui kwenda na fashion wanataka tuvae 'kaunda suti'Hapa tatizo sio uswahili. Tatizo ni ufukara
I had to laugh.Hyo nne ya Mo ukijaribu kuiweka utavunjika miguu. Heri utafute ela kwanza ukikaa nne inajikunja tu yenyewe
Tunatengeneza Taifa la watu wa kujipendekeza pendekeza unakutana na kijana anakuambia eti ili mambo yako yaende lazima uwe chama Tawala??Mwanaume kuvaa Hivyo ni tabia za kike,alizaliwa mwanaume kwa bahati Mbaya
Labda kwa kuficha ukurutu , lakini vinginevyo mwanaume anaficha mapaja ili iweje ?Hapana,Mwanaume hupaswi kuonesha mapaja hovyo labda ufukweni
Mkuu huyo mtu kwenye hiyo picha ni ngozi nyeupe?Asalaaaaaleeee,
Halaf kwa nn wengi wao rangi nyeupee...
Sisi conservative hatukubaliani na hayo mavazi kwa mwanaume kwenu liberal
hio fupi mnoLabda kwa kuficha ukurutu , lakini vinginevyo mwanaume anaficha mapaja ili iweje ?
Labda kwa kuficha ukurutu , lakini vinginevyo mwanaume anaficha mapaja ili iweje ?
Tupo pamoja kimtazamo.Siyo sahihi.
Huwa unavaa hivyo?Joto Wakuu
I see.Inategemea ntu na ntu, kwangu mimi ni sahihi 100%. Chini kuwe na kiatu fulani hivi simple kikali na cha bei mbaya, na T-shirt isiwe na maandishi mengi na makubwa.
I see.
Mr anavaaga hivyo?
[emoji23][emoji23]Hapana, anavaa pensi lakini juu ya goti kidogo tu au katikati ya goti mi na mashetani yangu huwa namshawishi avae hata fupi kabisa ananitoa nduki!
Binafsi ikiwa casual kamtoko fulani hivi sehemu fulani fulani sioni tatizo mwanaume akivaa hivo.