Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Naunga mkono hoja.Wanaume weusi wataendelea kuwa juu tu..!plus vinyweleo vyao[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Wanaume weusi wataendelea kuwa juu tu..!plus vinyweleo vyao[emoji39]
Mkubwa akijamba humsemi.Hata mimi nilichoka kwa mtu mwenye heshima zake hii hapana hapo yuko uchiii
Aiseee.Sisi wa mikoan hatuwez maana miguu yetu ina vigimbi na makovu makovu kutokana mbishe zetu za utafutaji ili kujikimu na maisha
Vby sana mzee Bba!ww mweupe hakiukufai huku😅Hv uko serious?
Sehemu gani sahihi?Sahihi katika sehemu sahihi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu si alivalishwa khanga?
Sawa mjanja.Watanzania katika ubora wao, Washamba, Limbukeni, Wajinga, na Wapumbavu, wanashangaa shangaa, kila kitu kwao kigeni
Utapotezaje muda wako kuongelea VAZI la mtu usiemjua,wala asiekujua..
Kabisaa mkuu, Kuna kitu kinaitwa exposure, hii kitu watu weusi hasa bongo tumekikosa sanaa, ukipata nafasi ya kutoka nje ya mipaka ya hii nchi utaona vile watu wanaishi na hawana mda wa kufatilia vitu vya kijinga jinga, "bukta juu ya mapaja", so what??? Mtu akivaa unapata shida gani?? Huo ushoga una relate vipi na bukta?Kwa hiyo kwasababu wewe huvai basi wanaovaa wanakosea??
Waswahili bhana hebu mtoke kwenye shimo mje duniani muone watu wanaishi vipi.
Unavaa bukta juu ya mapaja ukiwa public?Ushamba mbayaa sanaa.
Ilipopigiwa picha kama sio dukapicha.Sehemu gani sahihi?
Nimekuelewa dada.We unayemuwazia mwenzio vibaya shida ndio iko kwako. Ila mvaaji wala hana shida.