Hili vazi ni sahihi kwa mwanaume?

Hili vazi ni sahihi kwa mwanaume?

Afasali huko kuna hiso makamptula, huku kwetu ile Masai nafaa rubega tu.
 
Pennsylvania,
Picha za kuokota bila details zina shida, unaweza kuta mtu yupo swimming pool nyumbani kwake then mnatumia picha kama reference.
 
Napenda bukta/pensi sana, nikiwa home au mazingira ya home huwa sivai suruali, lakini ya juu ya magoti hapana.
Nataman nikuone ukiwa ktk ilo vazi mkuu samahani lakini kwa kuvuka mipaka
 
Pennsylvania,
Picha za kuokota bila details zina shida, unaweza kuta mtu yupo swimming pool nyumbani kwake then mnatumia picha kama reference.
Na pia unaweza kukuta yupo Public.

Wewe una details zipi?

Afu huo ni mfano wa mada mezani.

Usikute ndio wewe, you took it personal.
 
Napenda Sana kuvaa vibukta kwani nakuwa huru kabisa
 
Back
Top Bottom