Hili vumbi mjini noma sana; Wababa tuwe na hiyana, ukiona sketi imebinuliwa mbele yako fumba macho

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Vumbi kama lote; msimu Wa kimbunga mjini, wale wavaa sketi na misuli tuwasitiri; dada zetu kuadhilika nje nje! sketi zinafunuliwa mithili ya mwavuli;

balaa lioje wengine ndani hawavaagi chochote zaidi ya tandabui, ukiona hii wanaume tufumbe macho !!!

kwa wenye magari (keep distance) msisahau kukaa mbali na vi -babyWolker barabarani maana ni vinayumba balaa!!!

Ukisikia Upepo unaofumua m*ari*nda ndo huu!!
Usishangae kurudi nyumbani kwako ukakuta nyumba imeasogea!!!
Tahadhali inahusika!!!!
 
acha uongo Niko Kariakoo mbona hakuna vumbi wala kimbunga, tunauza simu kwa raha zetu
 
Mbona hata Dar maeneo kadhaa upepo upo kwa vipindi vifupi fupi. Night hata sasa asubuhi hii
 
Jf kuna mada za ajabu sio kawaida doh mwanaume rijali uone mpaja ufumbe macho mh
sasa unakodolea😳😳 nini sasa na urijali wako !! chukulia yule kama angekuwa dadako ungetoa mimacho!?
 
Yani hata zile NYUMBA zenye mabati yasiyo imara kazi wanayo sio kwa huu upepo
Tena unaambiwa ni ukanda wote wa pwani, kuna jamaa yangu yupo Lindi boti yake imeng'oa nanga usiku wa manane bahati nzuri imeokotwa pembezoni ya bahari, ufukweni. Watu wote wachukue tahadhari hasa watumiaji wa vyombo vya usafiri majini.
 
Angalia ila usitamani,kwa mji kama Dar ukiwa unafumba macho hautatembea,mpaka labda giza liingie...
 
Naitwa Culture Gal wa Keko Machungwa Darisalama, upepo unavuma sana pande za huku hadi tumejifungia ndani.

[emoji21][emoji855][emoji856]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…