ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mikoani wanapenda ujazo, mimi hapana chupa kama meli.Hill ni dsm ila mikoan huko azam anakimbiza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikoani wanapenda ujazo, mimi hapana chupa kama meli.Hill ni dsm ila mikoan huko azam anakimbiza sana
We upendi kupanda meli? Huenda anaadvertise biashara ya boti kupitia chupa 😂Mikoani wanapenda ujazo, mimi hapana chupa kama meli.
Hill water alipopatia ni style ya chupa portable
Uhai maji ya 500 lkn wanayaweka kwenye boti maana ile sio chupa tunabebaje?
Panton ni ndugu yake na meli kwahiyo sio vbayaI wish nipande meli, nishazoea panton za kigamboni
Kweli chupa ya uhai haivutii hata kidogo.Hill water alipopatia ni style ya chupa portable
Uhai maji ya 500 lkn wanayaweka kwenye boti maana ile sio chupa tunabebaje?
Kwenye maji wabongo Tunaangalia ujazo, na kwenye hili bc uhai ndiye bingwa.Hill water alipopatia ni style ya chupa portable
Uhai maji ya 500 lkn wanayaweka kwenye boti maana ile sio chupa tunabebaje?
Sio kweli Masafi ndio yanatamba kwenye kaya masikini.Sio kweli mfano dar kwa observation yale maeneo ya hali ya chini asilimia kubwa wanatumia uhai
Ningetegemea uje na takwimu kussuport point yako
fanya tafiti mkuu ila afya anaupiga mwingi. Hata vijuice/soda take away anakimbiza mnoAnakimbiza labda huko kwenu Tandika na mtoni Kwa kindande
Yes, dew drop, yamekaa poa saaana.Yanaitwa Dew drop tatizo yana bei, yale madogo buku
Halafu ni matamu
Napenda chupa zake sana na kuna maji yanaitwa dewdrop kama sijakosea jina yana chupa nzuri pia2024 uwe na ujasiri kama Hill water. Usiogope yoyote, weka mipango, tekeleza, sacrifice. Utatoboa.
NB: Mangi hatumii hirizi bali Biblia na bidii.
dew drop?Kuna chupa fulani hivi zinakuwa nyeupe, kale kachupa walidesign vizuri ika naona hawajasambaa sana wenyewe.
Afya anakimbiza katibia Tanzania nzima, hill ni regional sana sana ipo dar na bagamoyo.😂 ila mbona kama afya ndio anakimbiza sana
Yahdew drop?
Mungu anahusika maana Mungu mwenyewe kwenye maandiko yake anasema tafuteni nanyi mtapata. Hiyo tafuteni ni sawa na kusema marketingHill anajua sana kuanzia maji, vinywaji baridi, vyakula vya mifugo, hadi chicken
Huyu mwamba kaja kufanya mapinduzi makubwa sana
Mungu hausiki kwenye mafanikio ya biashara ni ubora wa bidhaa na marketing na nidhamu ya kazi
Tafuteni nanyi mtapata, Yesu aliposema hivyo hakuzungumzia biashara alizungumzia kumtafuta Mungu na mafundisho yake.Mungu anahusika maana Mungu mwenyewe kwenye maandiko yake anasema tafuteni nanyi mtapata. Hiyo tafuteni ni sawa na kusema marketing