Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Afya alikuwa mkombozi wa wengi alipopata TU jina kapandisha bei buku.
Watu wanakimbilia
Pangani ujazo wa 1.6 kwa sh 500.
Uhai chumvi zilimuharibia.
Klm anauzia jina quality hana
Pangani ndio hawa wapo keko hapa nahisi wana kiwanda chao.

Kilimanjaro kapigwa Tko ya maana yaani kapotea hata kweny seminars humuoni
..
Kanda ya ziwa wana maji yao kiwanda kipo shinyanga ni hayo tu kila kona ,ukikaa huwezi kujua brands nyingine ,kile kiwanda matangazo mpaka kweny mawe😅😅
 
Pangani ndio hawa wapo keko hapa nahisi wana kiwanda chao.

Kilimanjaro kapigwa Tko ya maana yaani kapotea hata kweny seminars humuoni
..
Kanda ya ziwa wana maji yao kiwanda kipo shinyanga ni hayo tu kila kona ,ukikaa huwezi kujua brands nyingine ,kile kiwanda matangazo mpaka kweny mawe😅😅
Yanaitwa jambo Toka kiwanda Cha jambo food.
Ndio Azam ya wasukuma Kanda ya ziwa.
Wife alikuja na maji Yao yapo POA test nzuri kama afya na hill
 
Yanaitwa jambo Toka kiwanda Cha jambo food.
Ndio Azam ya wasukuma Kanda ya ziwa.
Wife alikuja na maji Yao yapo POA test nzuri kama afya na hill
Hatari nimekaa pale ni yale ,sema jamaa ana soko zuri sana kule maana wtu ni wengi mpaka singida anatawala ...


Kilimanjaro yamebaki kwa watu wa jaba(mirungi) haswa Kilimanjaro ,Tanga na kenya.
 
Back
Top Bottom