Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Hawa jamaa wako watatu kwao, kuna kaka yao mkubwa nafkiri ameshafariki alikua na biashara kubwa sana kule shinyanga na kanda ya ziwa

Afu kuna mmoja anahusika na biashara za aggrovert ..HARSHO huyu anafanya vizuri sana mikoa ya kaskazini na kanda ya kati

Mwingine yuko kwenye biashara ya vinywaji bwana Hillary huyu ukanda wa pwani anakimbiza sana
Wako serious na biashara kama Wahindi, Waarabu na Wachina
 
Kuna jirani yangu alienda ktk mkesha kwa Mwamposa ndio kaniletea haya maji nimeshangaa kwamba Nabii kua anatengeneza maji muda sio mrefu ataharibu soko la uahai na afya kwani atauza sana uko mikoani.
Mzee kaona Canadian wanamchelewesha ,kaingia front mwenyewe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kuna jirani yangu alienda ktk mkesha kwa Mwamposa ndio kaniletea haya maji nimeshangaa kwamba Nabii kua anatengeneza maji muda sio mrefu ataharibu soko la uahai na afya kwani atauza sana uko mikoani.
Ana company yake inaitwa Arise & Shine wanatengeneza mafuta, cake, maji

Wateja wakubwa waumini
 
Kuna jirani yangu alienda ktk mkesha kwa Mwamposa ndio kaniletea haya maji nimeshangaa kwamba Nabii kua anatengeneza maji muda sio mrefu ataharibu soko la uahai na afya kwani atauza sana uko mikoani.
Naona hiyo ni brand ya Dew drop, hapo anafanya customization tu
 
Afya alikuwa mkombozi wa wengi alipopata TU jina kapandisha bei buku.
Watu wanakimbilia
Pangani ujazo wa 1.6 kwa sh 500.
Uhai chumvi zilimuharibia.
Klm anauzia jina quality hana
Afya ndiyo maji ya kipuuzi sijawahi kuyaelewa kabisa, unajua maji huwa ni tasteless, sasa ukakasi wa Afya makemikali yamezidi sana ujazo hadi yanaboa.

Pangani hayo yapo wapi kwa hapo Dar? Nilibahatika kuyanywa mara 1 Magomeni nikayatafuta tena sikuyapata kabisa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Afya ndiyo maji ya kipuuzi sijawahi kuyaelewa kabisa, unajua maji huwa ni tasteless, sasa ukakasi wa Afya makemikali yamezidi sana ujazo hadi yanaboa.

Pangani hayo yapo wapi kwa hapo Dar? Nilibahatika kuyanywa mara 1 Magomeni nikayatafuta tena sikuyapata kabisa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Afya yana radha ya maji ya mvua nayapenda sana aseee
 
Back
Top Bottom