Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sema nn Kilimanjaro kafanyiwa hujuma nzito alikuwa na status kushindwa hizi takataka zote za sasa ,yaani hakuna mtu alisogeza pua.
Nina wasiwasi na hawa wapya ni miongoni mwa jamaa waliosoma mchezo wa Kilimanjaro ,hao maji yalikuwa kuntu mpaka nje ya mipaka ya bongo yalitamba .
Nina wasiwasi na hawa wapya ni miongoni mwa jamaa waliosoma mchezo wa Kilimanjaro ,hao maji yalikuwa kuntu mpaka nje ya mipaka ya bongo yalitamba .