Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Hill water alivyoingia sokoni na kuwapiku wakongwe - Uhai & Kilimanjaro

Huyu jamaa wa afya ni nan ? Ana balaa katika usambazaji.

Huku kusini yanabamba
View attachment 2859336

Hawa jamaa wako watatu kwao, kuna kaka yao mkubwa nafkiri ameshafariki alikua na biashara kubwa sana kule shinyanga na kanda ya ziwa

Afu kuna mmoja anahusika na biashara za aggrovert ..HARSHO huyu anafanya vizuri sana mikoa ya kaskazini na kanda ya kati

Mwingine yuko kwenye biashara ya vinywaji bwana Hillary huyu ukanda wa pwani anakimbiza sana
Hill pia ana biashara ya agrovet hii ya maji kaanza juzi juzi tu hata miaka 10 hana. Biashara yake kubwa aliyokuwa nayo miaka mingi ilikuwa ni kutengeneza chakula cha mifugo hasa kuku.
 
Hill anajua sana kuanzia maji, vinywaji baridi, vyakula vya mifugo, hadi chicken (hapa kwenye chicken Interchick wajiangalie sana)

Huyu mwamba kaja kufanya mapinduzi makubwa sana

Mungu hausiki kwenye mafanikio ya biashara ni ubora wa bidhaa, marketing, ubunifu na nidhamu ya kazi
Bila Baraka za Mungu hutoboi kijana umelewa maji ya hill?
 
2024 uwe na ujasiri kama Hill water. Usiogope yoyote, weka mipango, tekeleza, sacrifice. Utatoboa.

NB: Mangi hatumii hirizi bali Biblia na bidii.

Kanda ya ziwa jambo ameishika

Ukiitaja hil water basi usiisahau due drop


1 due drop
2 hill water na uhai
3 jambo
 
Back
Top Bottom