Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Sie tunaokunywa maji ya kuchemsha tuna comment wapi jamani maana tukinywa ya chupa mpaka semina na ni maji youote utakayowekewa mezani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndanda pia ni habari nyingine [emoji119] ila sasa hajatanua soko lake kwenye mikoa mingi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kanda ya ziwa Ni Jambo,kuanzia maji,juice n.kHill ni dsm ila mikoan huko azam anakimbiza sana
Huyu jamaa wa afya ni nan ? Ana balaa katika usambazaji.
Huku kusini yanabamba
View attachment 2859336
Hill pia ana biashara ya agrovet hii ya maji kaanza juzi juzi tu hata miaka 10 hana. Biashara yake kubwa aliyokuwa nayo miaka mingi ilikuwa ni kutengeneza chakula cha mifugo hasa kuku.Hawa jamaa wako watatu kwao, kuna kaka yao mkubwa nafkiri ameshafariki alikua na biashara kubwa sana kule shinyanga na kanda ya ziwa
Afu kuna mmoja anahusika na biashara za aggrovert ..HARSHO huyu anafanya vizuri sana mikoa ya kaskazini na kanda ya kati
Mwingine yuko kwenye biashara ya vinywaji bwana Hillary huyu ukanda wa pwani anakimbiza sana
Bila Baraka za Mungu hutoboi kijana umelewa maji ya hill?Hill anajua sana kuanzia maji, vinywaji baridi, vyakula vya mifugo, hadi chicken (hapa kwenye chicken Interchick wajiangalie sana)
Huyu mwamba kaja kufanya mapinduzi makubwa sana
Mungu hausiki kwenye mafanikio ya biashara ni ubora wa bidhaa, marketing, ubunifu na nidhamu ya kazi
Kunywa Pangani, Hill water, Ndanda, Dasani hutakaa kamwe ufikirie kunywa maji ya Afya.Afya yana radha ya maji ya mvua nayapenda sana aseee
Si kweliBila Baraka za Mungu hutoboi kijana umelewa maji ya hill?
Jambo kanda ya ziwa.Kanda ya ziwa bila jambo bado sana
Katavi,rukwa,songwe bila dew drop utapotea.
Arusha,kilimanjaro kilimanjaro
nb: wekeni na huko kwenu.
Huko mna product zenu mafuta n samona jellyKanda ya ziwa Ni Jambo,kuanzia maji,juice n.k
Baki na msimamo wako mkuu.Si kweli
2024 uwe na ujasiri kama Hill water. Usiogope yoyote, weka mipango, tekeleza, sacrifice. Utatoboa.
NB: Mangi hatumii hirizi bali Biblia na bidii.
Maji ya kuchemsha ndiyo bora no 1 yakifuatiwa na maji ya mvua ila mimi huwa napenda sana maji ya mvua kuliko ya kuchemsha.Sie tunaokunywa maji ya kuchemsha tuna comment wapi jamani maana tukinywa ya chupa mpaka semina na ni maji youote utakayowekewa mezani
Kanda ya ziwa bila jambo bado sana
Katavi,rukwa,songwe bila dew drop utapotea.
Arusha,kilimanjaro kilimanjaro
nb: wekeni na huko kwenu.
Jambo kaliteka soko Hakuna cha azam wala mo wasukuma hawasikii Hawa ambiwi kitu.Huko mna product zenu mafuta n samona jelly
Fuatilia comment zilizopita utaelewa why nimesema hill.Dsm ni afya na uhai mzee acha uongo .
1.Maji ya mvuaMaji ya kuchemsha ndiyo bora no 1 yakifuatiwa na maji ya mvua ila mimi huwa napenda sana maji ya mvua kuliko ya kuchemsha.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
huyo yupo vyema kutamba mbele ya hao ma giant sio kazi rahisi.Jambo kaliteka soko Hakuna cha azam wala mo wasukuma hawasikii Hawa ambiwi kitu.
2024 uwe na ujasiri kama Hill water. Usiogope yoyote, weka mipango, tekeleza, sacrifice. Utatoboa.
NB: Mangi hatumii hirizi bali Biblia na bidii.
Jambo yuko vizuri. Mmiliki ni Salum ni mmbunge huko Shinyanga.Jambo kaliteka soko Hakuna cha azam wala mo wasukuma hawasikii Hawa ambiwi kitu.