Himars fake zinawagharimu Urusi

Himars fake zinawagharimu Urusi

Hamna kitu hapo hayo matoi ndo yaliwadanya WA Ukraine waingie kichwa kichwa pale khersan eti ku counter offensive dadeki ndani ya nusu saa LA kwanza wanajeshi WA Ukraine zaidi ya 560 walichinjwa hapo hapo
 
Kwani NATO imeishaingia mzigoni?? Au nchi yoyote ile imeingia mzigoni kupambana na Russia ktk vita ya ukrain
Kwa kufuata ahadi ya Putin na misimamo yake Nato haipo ndani ya ukrein ndiyo maana Urusi haina mpango na Nato.
Ikiwa utasema Nato hipo ndani ya Ukrein unamfanya Putin kuwa mwongo na Mropokaji. kwa umri ule na wadhifa alionao siwakuahidi kitu na asikifanye tena katika jambo sirias linalotafuna taifa lake.
 
Watanzania wengine wakengese sana sasa wanavyoiongelea Ukraine utazani wanaijua kuliko warusi wanavyoijua eti maraa ooh kizazi cha Ukraine ndo kina akili maraa ooh Ukraine ndo mama wa urusi mara ooh Ukraine wana mbinu nyingi kivita.....achane ayoo mambo yakukuza vitu vya propaganda wakati kuna jitu hapa ndo limetoka kuamka halina hata pakwenda yaani no direction kazi yake ni kutupanga tu humu eti Ukraine nomaa...alafu kesho Ukraine akizidiwa atakuja tena ooh unajua Russia noma zaidi...Alafu wengi wao ni wanyakyusaa tupu yaani badala awaze atalima vipi maparachichi yeye yupo bize na propaganda za Ukraine......
Mwigulu mwigulu nakuona nakuona.......nchembaa ametuzalia mtoto wa hovyoo kabisaaaa tangu Tanzania ipate Uhuru wake...just for funny not serious..
 
Watanzania wengine wakengese sana sasa wanavyoiongelea Ukraine utazani wanaijua kuliko warusi wanavyoijua eti maraa ooh kizazi cha Ukraine ndo kina akili maraa ooh Ukraine ndo mama wa urusi mara ooh Ukraine wana mbinu nyingi kivita.....achane ayoo mambo yakukuza vitu vya propaganda wakati kuna jitu hapa ndo limetoka kuamka halina hata pakwenda yaani no direction kazi yake ni kutupanga tu humu eti Ukraine nomaa...alafu kesho Ukraine akizidiwa atakuja tena ooh unajua Russia noma zaidi...Alafu wengi wao ni wanyakyusaa tupu yaani badala awaze atalima vipi maparachichi yeye yupo bize na propaganda za Ukraine......
Mwigulu mwigulu nakuona nakuona.......nchembaa ametuzalia mtoto wa hovyoo kabisaaaa tangu Tanzania ipate Uhuru wake...just for funny not serious..
Mkuu tuliza hasira hata sisi tozo zinauma
 
Kwani NATO imeishaingia mzigoni?? Au nchi yoyote ile imeingia mzigoni kupambana na Russia ktk vita ya ukrain
Sasa Mbona mnakenua meno mkisema eti Russia anapambana na NATO na sio Ukraine pekee? Wakati huo unakili kwamba Wanajeshi wa NATO hawako Ukraine? Ndio maana Mimi nawaitaga Vichaa. Mnakuwa na mahaba mpaka mnasahau mnachosimamia.
 
Sasa Mbona mnakenua meno mkisema eti Russia anapambana na NATO na sio Ukraine pekee? Wakati huo unakili kwamba Wanajeshi wa NATO hawako Ukraine? Ndio maana Mimi nawaitaga Vichaa. Mnakuwa na mahaba mpaka mnasahau mnachosimamia.
Mahaba hupunguza uwezo wa kufikir mkuu,asante umeliona hilo
 
Sasa Mbona mnakenua meno mkisema eti Russia anapambana na NATO na sio Ukraine pekee? Wakati huo unakili kwamba Wanajeshi wa NATO hawako Ukraine? Ndio maana Mimi nawaitaga Vichaa. Mnakuwa na mahaba mpaka mnasahau mnachosimamia.
NATO na Europe union wapo, wameingia kama mamluki na ndio kitu kinachumpa shida Russia kulianzisha maana atakosa ushaidi wa kutosha
 
NATO na Europe union wapo, wameingia kama mamluki na ndio kitu kinachumpa shida Russia kulianzisha maana atakosa ushaidi wa kutosha
Point ,mapro Russia kama nyie ndio mnatakiwa humu ,mnatoa vitu unaona mtu kaongea,wkend njema mkuu
 
USA inaihitaji NATO kuliko NATO inavyoihitaji USA kuipiga RUSSIA.

Rejea kwanini USA ilazimishe kuweka NATO BASE hapo UKRAINE karibu na RUSSIA kama kweli hana shida na NATO kuisambaratisha RUSSIA [emoji848][emoji28]

Umesahau USA ilishawahi kuitaka RUSSIA kutoa military base pale CUBA la sivyo ingeanzisha vita na RUSSI?

Kwanini iwe nongwa kwake USA hivi sasa kutoa NATO base pale UKRAINE karibu na RUSSIA [emoji848][emoji3]

Au ndiyo nyani haoni kundule [emoji848][emoji38]

Hawa jamaa usumbuliwa sana na majivuno,ujeuri,uchonganishi mataifa yasielewane na kujiona wao ni zaidi - mataifa mengi Duniani hayakubaliani na ufedhuli huu lakini hayasemi moja kwa moja yanasubiri kujiunga na BRICS alliance na kutumia medium of exchange mbadala kuliko Dollar ambazo zina tumika zaidi kwenye malengo ya Geopolitics na hujuma za kiuchumi kwa Mataifa shindani - unfortunately Uncle SAM and like mind wenzake never saw it coming!!
 
Hawa jamaa usumbuliwa sana na majivuno,ujeuri,uchonganishi mataifa yasielewane na kujiona wao ni zaidi - mataifa mengi Duniani hayakubaliani na ufedhuli huu lakini hayasemi moja kwa moja yanasubiri kujiunga na BRICS alliance na kutumia medium of exchange mbadala kuliko Dollar ambazo zina tumika zaidi kwenye malengo ya Geopolitics na hujuma za kiuchumi kwa Mataifa shindani - unfortunately Uncle SAM and like mind wenzake never saw it coming!!
Inaonekana haufuatilii habari. Hiyo Medium of Exchange unayoizungumzia Ni ipi? Kama Union Pay ya China imeigomea Russia kuwa mbadala wa Master Card na Visa Card unafikili Nani atakanyaga nchini Urusi Kama sio Hawa Kindergarten ambao ndio wanaanza Biashara Kama Hawa Wahindi?
 
Swali dogo tu, hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini ngojera za wasanii hawa akina Zelensky na genge lake.

For a starter- Warusi wana wanasayansi na maiinjia mahili Duninani - kumbukeni sana hilo, anayesema missiles za Urusi haziwezi kutofautisha baina ya toy la plastic na mbao or composite material ambazo ni bad conductor wa umeme na mawimbi ya Radio - Warusi sio mabumbubu kama propaganda hizi za kitoto zinazo sambazwa na media za magharibi,habari hizi za kuchonga kuhusu the so called wooden HIMARS, repeat, media za magharibi including social media wamelivalia njuga kweli kweli, wanafikiri watu hawana hakiri ya kung'amua kinacho endelea nyuma ya pazia.

Now a million dollar question, is: kwa nini suala hili linahibuka ghafla baada ya Zelensky kuanzisha kile anacho kiita ni counter offensive ya jeshi lake yenye lengo la kulikomboa jimbo la Kherson, walipo shituka kwa kuona operation yao haiwaendei vizuri pamoja na HIMARS roketis kutunguliwa kwa wingi pamoja na HIMARS kuharibiwa na jeshi la Urusi, ndio maana akina Zelensky na genge lake wakaja na stori za kubuni tu kwamba Warusi wamezidiwa kete na jeshi la Ukraine baada ya kuwategeshea Warusi HIMARS zilizo tengenezwa kwa mbao hivyo kuwatia hasara kubwa Warusi wanao tumia missiles zinazo gharimu mamillion ya fedha kuharibu toys zinazo gharimu fedha ndogo sana kuzitengeneza - cha kujiuliza hapa ni kitu gani kinawafanya jeshi la Ukraine kuanika adhalani siri zinazo wawezesha kulitia hasara jeshi la Urusi - uwazi wao unawasadia nini katika mapambano yao dhidi ya Urusi - hii inaingia akili kweli??

Ukweli wa mambo ni kwamba jeshi la Ukraine lilifanya blunder kubwa ya kujitia kutaka kukomboa Kherson mpaka sasa jeshi la Ukraine limelemewa hawajafanikisha chochote cha maana katika operation nzima zaidi ya kupoteza wanajeshi wengi na zana zao za vita zikiwemo HIMARS ndio maana wanakuja na stori hii ya wooden HIMARS wakiwa na lengo la kutaka kuikatisha tamaa Urusi ili hisiendelee kusaka HIMARS zilizo baki na kuziangamiza a very clever ploy by Zelensky military top brass, wakifikiri Warusi hawana hawawezi kulitambua hilo kirahisi na kuendelea kuzisaka HIMARS kwa udi na uvumba.
Wewe hebu Acha kukalili....Russia vita hii mbaya kwake imeenda tofauti na alivyodhani....leo wanabembeleza wafungwa waende vitani hii maana yake nini?....russia uwanja wa mapambano anapigika vilivyo....vita hii imemuondolea heshima russia kwa mataifa mengine ambayo walikuwa wanaiogopa....
 
Semeni ukweli - wakale usema "msema ukweli ni mpenzi wa Mungu" mkuu ni hivi: Merikani wala haikuhusika chochote katika usambaratikaji wa Soviet Union, sijui kwa nini media za magharibi upendelea sana kueneza taarifa za uongo na za kubuni tu, watu wengi Duniani wali amini sana uzushi huu.

Ukweli ni kwamba Russian Federation na former Soviet Republics walikaa chini wakakubaliana kutengana kila republic ijitawale yenyewe washirikiane tu kwa mambo ya biashara nk, hapakuwepo shinikizo lolote kutoka Merikani wala nini sijui.

Wanzilishi wa kusitisha vita baridi ni Wamerikani yenyewe sio Urusi - mkewe Rais Reagan, Mrs Nancy Reagan ndiye alimshauri mumewe kwamba ajaribu kumpigia simu Gorbachev amshurutishe kwamba wasaidizi wao wakutane na kufanya taratibu za wao kukutana na kumaliza tofauti zao, hasa hasa usitishaji wa vita baridi (cold war) najua watu wengi watanipinga kwamba iweje mke wa Rais awe na uwezo wa kuwa mwanzilishi wa yote haya, kwani alikuwa na cheo gani Serikalini - ukweli wa mambo ni kwamba she did it na kufanikiwa by 100%!!

Watu wengi wanao fahamu kwa karibu familia ya Reagan usema ingawa Nancy alikuwa mdogo kwa umbo na mfupi, lakini alikuwa na akili nyingi na hekima sana na Reagan mwenyewe alikuwa anasikiliza sana ushauri wa Nancy na kuuchukulia seriously, huo ndio ulikuwa ndio mwanzo wa kusitisha vita baridi mwanzilishi kama nilivyo sema tangu mwanzo kwamba wanzilishi wakikuwa ni Wamerikani wenyewe na wala si Warusi - kwa bahati mbaya au kimakusudi vyombo vya habari vya magharibi ueneza habari tofauti kabisa na za Uongo, eti: Urusi ilishindwa vita baridi baada ya kishindwa kumudu gharama za ushindani wa uundaji wa silaha za kijeshi baina yake na Merikani - waongo wakubwa sana hawa, uzuri ni kwamba wenye kufuatia kwa karibu kuhusu ukweli kwa kile kilicho tokea wanajua ukweli huko wapi na sio western inept propaganda 24X7, hata uwezi kujua deep down wanakuwaga na malengo gani kwa kueneza taarifa za kutunga tu na kushinikiza Dunia kiaina ili ikubaliane na uongo wao.
Acha fix wakati mke wa regan anamshaur mumewe wewe ulikuwepo?
 
Ukraine wanastahili pongezi kwa mbinu.

JAPOKUWA: Warusi wangeamua kutangaza vita kamili bila kujali aina ya silaha nadhani sasa hivi tungekuwa tunaongelea aina nyingine ya vita na si vya Ukraine sababu huenda ingekuwa imechakaa.

(Ukiachilia mbali nuclear inasemekana wana heavy bombs).

Sijajua kwann hafanyi hivyo ila nachojua sababu ya kutokufanya kwake ni kwa maslahi ya Urusi na Dunia. Iwe ni anahofia respond ya mataifa mengine makubwa au ametumia ubinadamu kuavoid vifo vingi kwa pamoja au anazuia vita ya dunia, haijalishi, Warusi wanastahili kuheshimiwa kwa maamuzi ya kivita wanayochukua.
Lakini Urussi angestahili heshima kama asingevamia kabisa.Hii ya sasa ni kwamba yupo kwa dilema baada ya kuona response ya Wababe wenzie.Anajua kabisa nini kitakwenda kutokea kwake kama Taifa akijaribu kuvuka mstari mwekundu.
 
Lakini Urussi angestahili heshima kama asingevamia kabisa.Hii ya sasa ni kwamba yupo kwa dilema baada ya kuona response ya Wababe wenzie.Anajua kabisa nini kitakwenda kutokea kwake kama Taifa akijaribu kuvuka mstari mwekundu.
Salama boss, sijakusikia muda...
Kuivamia nchi nyingine si jambo sahihi hilo lipo wazi. Heshima ninayoiongelea ni ile ya kiupinzani. Mfano Simba inapocheza na yanga kuna heshima japo inacheza na utopolo.
 
Back
Top Bottom